Nlifilisika kabisa kipind cha korona biashara ilikuwa ngumu had nikauza frame kkoo, mke akaniacha , wana na baadhi ya ndugu walinicheka asa ivi nimerudi kwenye form hao hao wanaomba msaada nawazoom tu, uyo mwanamke anajifanya mwema asa ivi kunishaur sina kinyongo na mtu ila nimewajua vizur yupi...
Unaweza oa ambaye hana mtoto ila hana upendo na hao ndugu zako wakapaona kwako kama sehem ya hatar sana , hata kufika kukutembelea wakashindwa kuwa na mtoto kwa uyo mwanamke si tatizo kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kula kwanza ujana uyo utakae mwoa utamtesa bure hairisha had utakapo kuwa tayar, na unaweza sababisha makubwa ndan ya iyo ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unauwezo wa kufanya biashara komaa tu na biashara ila shule haina muda maalum wa kusoma ila kutafuta kuna umri ukifika ndio bas tena , ila kama huwez biashara kasome mambo ya kilimo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara nying zimekufa wachina wamekimbilia Uganda na Msumbiji, soko la vitenge nalo limekufa kwa sasa vitenge ni bei rahis Zambia kuliko Tz wagen hawaji tena kununua kwetu, kanda ya ziwa yote wamehamia uganda sababu kule vitu ni bei rahis na hii yote ni sababu ya kuweka kod kubwa za kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.