Ushauri wenu: Nimefikiria nimeona nirudi shule kusoma. Nisomee nini wakuu?

Habari.mimi ni kijana wa kawaida nimemaliza form 4 miaka zaidi ya 7 huko nyuma,nimetanua weeee mtaani,ila sasa nimeona nijiendeleze kielimu lakini watu walionizunguka naona hawafiti kunishauri ndyo maana nimeona nije hapa.

Cheti changu kipo kama ifuatavyo.

MATH-F
HISTORY-D
ENGLISH-D
KISW-C
BIOS-C
CHEMIS-D
CIVICS-D
GEOG-C

Sasa hapa nilitaka nikasome afya lakini jamaa wananismbia nina mkia wa hesabu siwezi kuendele,wakuu nishaurini nikaongeze elimu,kwa kada ipi wakuu elimu muhimu japo sio lazima,mimi nimeona ni muhimu nikasome.

Nilikuwa nasoma dini ili watu kama kina kiranga na wana falsafa wengine wasiniyumbishe mana ukienda mtupu huko vyuoni mara unarudi kama kiranga,sasa nipo fiti nataka kusoma elimu dunis wakuu.

Ushauri wenu wadau mbali mbali humu akiwemo mams yangu mpeeeeeenzi FaizaFoxy na wengineo.

Na vipi suala la kurudia form four tenaa likoje,taratibu faida na hasara zake?

Asanteni nategemea majibu kutoka kwenu wasomi mbali mbali wa humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kasomeee "ukamataji wa dhahabu" inalipa sana
 
Nimefikiria kwa muda,,nikaona upon serious,, binafsi nakushauri kasome kitu unachokipenda hata kama utaanza level ya certificate naamin utajituma zaidi kuliko kusoma course kwa kufata mkumbo Fulani kasema.... Na kama ni kozi za afya kwanza fahamu umepoteza nafasi ya kusoma vyuo vya serikali hivyo private zitakuhusu,,na courses nyingi wanahitaji uwe umesoma PHYSICS,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah mkuu unaweza kufunguka kwamba kuna hasara gani za kusoma vyuo private dhidi ya serilali?

Na vipi unashaurije nikitaka kurudia mtihani ili nikave physics na mathe,hili suala la kurudia mtihani mlolongo wake upoje mkuu?

Asante kwa majibu yajayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nenda Kasome Veta kapige Driving kisha nenda NIT baada mda mfupi tu utakuwa mbali usijichoshe kwenda five six utapoteza hela tu na mda

Au kapige Veta mambo ya Electricity Installation uunge nayo mpaka chuo

Somea Ujuzi usijisumbue kutafuta Credit au kuendelea na 5&6 utajuta baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nenda Kasome Veta kapige Driving kisha nenda NIT baada mda mfupi tu utakuwa mbali usijichoshe kwenda five six utapoteza hela tu na mda

Au kapige Veta mambo ya Electricity Installation uunge nayo mpaka chuo

Somea Ujuzi usijisumbue kutafuta Credit au kuendelea na 5&6 utajuta baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu napiga kazi sehemu hvyo nataka nipate sehemu ya kusoma ambayo itanipa mda wa kwenda kibaruani kwa sababu nataka nifanye kibarua na masomo.

Kwa hzo credit zangu ujuxi upi naweza pata hzo kozi mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari.mimi ni kijana wa kawaida nimemaliza form 4 miaka zaidi ya 7 huko nyuma,nimetanua weeee mtaani,ila sasa nimeona nijiendeleze kielimu lakini watu walionizunguka naona hawafiti kunishauri ndyo maana nimeona nije hapa.

Cheti changu kipo kama ifuatavyo.

MATH-F
HISTORY-D
ENGLISH-D
KISW-C
BIOS-C
CHEMIS-D
CIVICS-D
GEOG-C

Sasa hapa nilitaka nikasome afya lakini jamaa wananismbia nina mkia wa hesabu siwezi kuendele,wakuu nishaurini nikaongeze elimu,kwa kada ipi wakuu elimu muhimu japo sio lazima,mimi nimeona ni muhimu nikasome.

Nilikuwa nasoma dini ili watu kama kina kiranga na wana falsafa wengine wasiniyumbishe mana ukienda mtupu huko vyuoni mara unarudi kama kiranga,sasa nipo fiti nataka kusoma elimu dunis wakuu.

Ushauri wenu wadau mbali mbali humu akiwemo mams yangu mpeeeeeenzi FaizaFoxy na wengineo.

Na vipi suala la kurudia form four tenaa likoje,taratibu faida na hasara zake?

Asanteni nategemea majibu kutoka kwenu wasomi mbali mbali wa humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi zinazotrend

Librarian

Record management

Kilimo

Kada ya Afya- public jeshini, polisi, magereza,

Laws enforcement- ajira polisi na magereza

Academician hapa upige degree na upate GPA above 3.8.



Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Habari.mimi ni kijana wa kawaida nimemaliza form 4 miaka zaidi ya 7 huko nyuma,nimetanua weeee mtaani,ila sasa nimeona nijiendeleze kielimu lakini watu walionizunguka naona hawafiti kunishauri ndyo maana nimeona nije hapa.

Cheti changu kipo kama ifuatavyo.

MATH-F
HISTORY-D
ENGLISH-D
KISW-C
BIOS-C
CHEMIS-D
CIVICS-D
GEOG-C

Sasa hapa nilitaka nikasome afya lakini jamaa wananismbia nina mkia wa hesabu siwezi kuendele,wakuu nishaurini nikaongeze elimu,kwa kada ipi wakuu elimu muhimu japo sio lazima,mimi nimeona ni muhimu nikasome.

Nilikuwa nasoma dini ili watu kama kina kiranga na wana falsafa wengine wasiniyumbishe mana ukienda mtupu huko vyuoni mara unarudi kama kiranga,sasa nipo fiti nataka kusoma elimu dunis wakuu.

Ushauri wenu wadau mbali mbali humu akiwemo mams yangu mpeeeeeenzi FaizaFoxy na wengineo.

Na vipi suala la kurudia form four tenaa likoje,taratibu faida na hasara zake?

Asanteni nategemea majibu kutoka kwenu wasomi mbali mbali wa humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu kinaitwa STEM, yaani science, Technology, Economics and Mathematics

Hizi ndizo highly paying fields katika dunia!

Kama unataka kusoma ili uje uajiriwe, basi gusa mojawapo hapo!

Kuna hawa jamaa wanaitwa IT people, wako poa sana na wanahitajika sana dunia ya kwanza, anza kuwafuatilia nao uone kama utaendana nao!

All in all, biashara inalipa sana!

Kasome certificate ya commerce and book keeping hapo cbe kisha rudi mtaani endelea kupiga biashara kielimu zaidi.


*changanya na zako*
 
Kuna kitu kinaitwa STEM, yaani science, Technology, Economics and Mathematics

Hizi ndizo highly paying fields katika dunia!

Kama unataka kusoma ili uje uajiriwe, basi gusa mojawapo hapo!

Kuna hawa jamaa wanaitwa IT people, wako poa sana na wanahitajika sana dunia ya kwanza, anza kuwafuatilia nao uone kama utaendana nao!

All in all, biashara inalipa sana!

Kasome certificate ya commerce and book keeping hapo cbe kisha rudi mtaani endelea kupiga biashara kielimu zaidi.


*changanya na zako*
Daah unajus mkuu ushauri wako ni mzuri sana.
Lakini mimi hobbie yangu ni katika mas,ala ya afya (sayansi)niko napenda sana mambo yalee ys hospitali au yanayohusu afya za watu kama hivyo.

Wakati nipo shule nilikuwa najikuta nafurahi dana nikisoma biology mpaka nasoma kwa sauti mwenyewe kama namfundisha mtu licha ya kuwa shule niliyosoma ilikuwa ovyo kidogo lakini ckufeli kutokana na kupenda kwangu jambo hilo.

Sasa hapa kuna wazo nimepewa la kurudia mtihani wa kidato cha nne kwa baadhi ya masomo ya sayansi ambayo nataka kurudia MATH,PHYSICS NA CHEMISTRY nitafte C katika hayo masomo yote then mwakani tukijaaliwa naingia diploma kabisaa safari inaanza.

Hapo vipi mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom