Temeke: Ndoa huvunjika kila siku

Temeke: Ndoa huvunjika kila siku

NNi
Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu Mh Simbachawene amesema kwa mujibu wa takwimu zilizopo kwa miezi 9 tu iliyopita zaidi ya Ndoa 350 zimevunjika Wilayani Temeke, kwa mujibu wa namba za Kalenda za kidunia ni kwamba kila siku ndoa kadhaa zinavunjika kwenye eneo hilo linalosifika kwa vigodoro na sherehe zisizo na maana yoyote.

Kwa, Temeke ndio eneo ambako mtoto akipata mimba mama yake anaweza kufanya sherehe ili atuzwe khanga, vijora, madela na K Vant, ni eneo la ajabu ambako mtoto mchanga akikatika kitovu inaangushwa sherehe kubwa utadhani Yanga imetwaa ubingwa wa Africa, achilia mbali sherehe ambazo hufanyika mtoto aliyezaliwa anapotimiza siku 40 au kutahiriwa ama kuvunja ungo.

Hii ni namba Kubwa sana ya kuvunjika kwa mahusiano ya ndoa na inatia mashaka kama waoaji na waolewaji wanaandaliwa kabla ya kuoana .

Nini kifanyike
Ni kumrudia Mungu tuu na kurudi kwenye uafrika wetu.
Ndoa za siku ni kipengelee, maana hata wanao ingia kwenye ndoa unakuta wamekutana kitambaa cheupe au kidimbwi alfajiri wakati Dj anafunga mziki unafikiri hapo ku a nini
i
 
Nini kifanyike?
Nashauri NDOA zisifanyike tu...

NDOA imara ni msingi wa maendeleo katika taifa,,,,,ikiwa tofauti na hivyo ni msingi wa Umasikini katika taifa....Malezi mabovu na tabia za kishenzi huanzia katika Familia....

Vijana wakiweza kupiga bao mbili za kuunganisha tayari wanajiona wanafaa kuoa,,,wengine akishakuwa na Godoro ghetto na jiko la gesi anaona tayari anaweza chukua majukumu.,,,Na Mabinti nao wanaolewa ili wafanye sherehe,,,ikishapita wanaona hamna Jipya walichotaka wameshapata.... n.k..

Na Mapenzi ni jambo halishauriki,,,ni Freestyle,,,kila mtu anacheza kadri ya shibe yake inavyomruhusu...
 
Nashauri NDOA zisifanyike tu...

NDOA imara ni msingi wa maendeleo katika taifa,,,,,ikiwa tofauti na hivyo ni msingi wa Umasikini katika taifa....Malezi mabovu na tabia za kishenzi huanzia katika Familia....

Vijana wakiweza kupiga bao mbili za kuunganisha tayari wanajiona wanafaa kuoa,,,wengine akishakuwa na Godoro ghetto na jiko la gesi anaona tayari anaweza chukua majukumu.,,,Na Mabinti nao wanaolewa ili wafanye sherehe,,,ikishapita wanaona hamna Jipya walichotaka wameshapata.... n.k..

Na Mapenzi ni jambo halishauriki,,,ni Freestyle,,,kila mtu anacheza kadri ya shibe yake inavyomruhusu...
swadakta
 
Niko temeke Hap tandika namsubiria Aisha nikamchakate balah tupu wazeee nimemkumbuka Sana Leo. Niko karibu kbsa na uwanja wa bandari nakasubiria Happ Kona akanifanyie massage ya mkuyenge

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom