Mwaka 2008 mwishon chameleon aliiba beat kwa kificho na akafanya ngoma ikaleta mgogoro baadae wakampiga faini.katika kuliweka sawa hilo chameleon akamtafuta jay wakafanya kazi ile unavyodhan ndivyo sivyo.ilikuwa kitambo kidogo
Mkuu kinachofanyika ni makosa.kikawaida poducer anapotengeneza nyimbo.instrumental inabaki ni ya kwake na japo msanii ataitumia.sasa basi iwapo instrumental hiyo itatumika sehemu nyingine ni lazima producer ajue na aafiki.kilichofanyika hapa ni kwamba imetumika kazi ya p funk hollywood.sehem...
Halotel ndo wakubwa wa kazi.speed yao iko strong hatari na hii nimefanyia research kote dar na mikoani.nlikuwa nadownload software za gb 2 tatu hadi nne nilikuwa nazipanga tu torrent asubuhi nakuta mzigo ote umemaliza.kiufupi nmetumia mitandao ming lakin nmegota kwa hawa majamaa
Wakuu kuna siku nilijichanganya nkanyonya tena ya demu wangu na alikuwa kisu Chuo kizima kilikuwa kinamfahamu.sasa Mimi si nikajidai legend.baada ya kuachana nae nilitapika barabarani kabla hata ya kufika gheto.msiniambie tena huo undezi
Unajua kilimo cha kusoma na kufanya ni tofauti kabisa.Ni kweli kilimo kinafaida kuu lakini lazima ukubali kuwa si faida ya fasta kama unavyo sisitiza.
Mi naendelea kulima na kufuga na faida kubwa naisubiri kwa kitambo sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.