Recent content by Bolo yank

  1. Bolo yank

    Sijui huyu msichana nimfanyie nini anikubalie

    Madem wa kilokole wajinga wajinga ata akikubalia atakusumbua chief.Fanya mambo mengine mkuu
  2. Bolo yank

    Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

    Sasa mimi nikiingiza tu gegedo kwenye papuchi hapo hapo namwaga.nadhan uwa ni sekunde mbili tu.eti wakuu ninatatizo?
  3. Bolo yank

    Hivi makamasi puani hutoka wapi?

    Hahhh mkuu umeshindikana
  4. Bolo yank

    Filamu ya kwanza Holywood kutumia soundtrack ya Bongo

    Walitumia Lakini si holywood mkuu.
  5. Bolo yank

    Filamu ya kwanza Holywood kutumia soundtrack ya Bongo

    Mwaka 2008 mwishon chameleon aliiba beat kwa kificho na akafanya ngoma ikaleta mgogoro baadae wakampiga faini.katika kuliweka sawa hilo chameleon akamtafuta jay wakafanya kazi ile unavyodhan ndivyo sivyo.ilikuwa kitambo kidogo
  6. Bolo yank

    Filamu ya kwanza Holywood kutumia soundtrack ya Bongo

    Mkuu kinachofanyika ni makosa.kikawaida poducer anapotengeneza nyimbo.instrumental inabaki ni ya kwake na japo msanii ataitumia.sasa basi iwapo instrumental hiyo itatumika sehemu nyingine ni lazima producer ajue na aafiki.kilichofanyika hapa ni kwamba imetumika kazi ya p funk hollywood.sehem...
  7. Bolo yank

    Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] pombe ni htari
  8. Bolo yank

    Ngono kwa kupitia mdomo inasababisha Saratani

    Mkuu umeandika kwa uchungu sana[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
  9. Bolo yank

    Bundle la mtandao upi ni cheap unaweza download movies

    Halotel ndo wakubwa wa kazi.speed yao iko strong hatari na hii nimefanyia research kote dar na mikoani.nlikuwa nadownload software za gb 2 tatu hadi nne nilikuwa nazipanga tu torrent asubuhi nakuta mzigo ote umemaliza.kiufupi nmetumia mitandao ming lakin nmegota kwa hawa majamaa
  10. Bolo yank

    Ngono kwa kupitia mdomo inasababisha Saratani

    Wakuu kuna siku nilijichanganya nkanyonya tena ya demu wangu na alikuwa kisu Chuo kizima kilikuwa kinamfahamu.sasa Mimi si nikajidai legend.baada ya kuachana nae nilitapika barabarani kabla hata ya kufika gheto.msiniambie tena huo undezi
  11. Bolo yank

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Unajua kilimo cha kusoma na kufanya ni tofauti kabisa.Ni kweli kilimo kinafaida kuu lakini lazima ukubali kuwa si faida ya fasta kama unavyo sisitiza. Mi naendelea kulima na kufuga na faida kubwa naisubiri kwa kitambo sasa
  12. Bolo yank

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Mkuu atakuwa alikuwa anamaanisha gari ya kubeba kashata[emoji4] [emoji4]
Back
Top Bottom