Recent content by bojo15

  1. bojo15

    Ulikuwa na umri gani ulivyojua kuwa kirefu cha MOM ni My Own Mother

    Na DADy kirefu chake ni nini ..???
  2. bojo15

    PostGE2025 Wazee wa Dar es Salaam wakisubiri kumsikiliza Rais Samia

    Jmn na mm ni Mzee, je nikienda nitaingia ukumbini au hao walishapewa kadi
  3. bojo15

    Sijui nimewaambukiza wangapi ila wengi ni waume za watu

    Pole...... Achavisasi jifunze kuishi kwa matumaini, ila kumbuka hakuna atakaye ishi milele hapa Duniani
  4. bojo15

    GE2025 Zitto: Tumeshajua wanaibaje kura, tumepata mbinu ya kuwakabili

    Huyu si ndiye aliyefukuzwa chadema sababu ya ushawa wa kuwapelekea umbea ccm , nakutoa Siri za vyama vya upinzani....... Apeleke ujinga wake hukooo.......!!!
  5. bojo15

    Lesotho usiku huu baridi Kali sub zero

    Dah......mm nimeshangaa Leo , Dar kuwa na baridi kama la mkoani
  6. bojo15

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NO REFORM NO ELECTION
  7. bojo15

    Baada ya Kanisa la Ufufuo na Uzima kufutwa, kituo kifuatacho ni KKKT? Ushahidi huu hapa

    Kila mtu na mnyonge wake......hayo makanisa hayawezi yapo Dunia nzima, la Gwajima lipo TZ tu, wanacho weza kufanya ni kudili na huyo huyo mlopokaji basi.
  8. bojo15

    Askofu Gwajima kushusha radi nzito kesho Kanisani kwake

    Asije akatolewa macho baba wa watu.......huu utawala ni shida
  9. bojo15

    Wanafungaje NIDA yako eti usipojiandikisha? Tokea lini haya mambo yakaingiliana? Mwenye taarifa zaidi atujuze!

    Hakuna aliye pigiwa simu Wala kutumiwa msg, walitangaza kwenye vyombo vya habari kwamba mkafate vitambulisho vyenu kwenye Kata zenu .
  10. bojo15

    Tai: Ndege mchafu mwenye kuuokoa ulimwengu

    Leo Mshana jr umejichanganya.,.. ushauri tu kwenye neno Tai weka Bundi...... edit p'se
  11. bojo15

    A living reincarnation, rebirth..!

    Mkuu hizi mada kwa nini umezikimbiaa???
  12. bojo15

    Watuhumiwa waliolawiti mtoto Arusha wakosa sifa ya Kushtakiwa kwa kosa la Jinai kwa kutokuwa na umri sahihi

    Huyo wa miaka mitano kazingiziwa, kazi kaifanya huyo wa wa miaka tisa ndiye balehe inadowloud 😳😕
Back
Top Bottom