kwa nn sefue asije humu akajitetea kuwa hausiki na rushwa, au kwann taasisi zenye mamlaka ya kuchunguza rushwa zisifanye uchunguzi na akiwa clean asafishwe au atumbuliwe
Kama seminar elekezi zimeanza kwa mawaziri tusubiri tuu, watumishi wote tutapata seminar elekezi tena kwa posho za vikao za kutosha tutakula na kunywa pia.... hii ndio ccm
Hii nchi inahitaji uzalendo zaidi na sio porojo za siasa kwenye media, Prof anaweza kuwa na ni dhati lakn atashindwa kwa kuwa wananchi wenyewe hawajajitambua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.