Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Dunia imebadilika sana tofauti na 2001. Leo hii mkiwapiga na kuwafukuza nchini kwao vijana wa Zanzibar kama mlivyofanya 2001 wakaikimbia nchi yao hawataenda pale beach Mombasa. This time kuna Al Shabaab na ISIS wanatafuta vijana, na vijana waliodhulumiwa haki zao na kunyanyaswa nchini mwao ndio target ya hayo makundi ya kighaidi. Then wakipata mafunzo na kurudi hata wewe mleta mada na ma pupet wenzio wote hamtakuwa na amani tenaAtakaejaribu kutukwamisha tutambomoa-JPM