Recent content by bobtony

  1. B

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Hii ni dollar 18, 000. Sema kuna nyingine pia zinatengenezewa South Africa kwa hii company ya land Rover. Bei yake ni tofauti pia. Ni gari nayoipenda sana. I believe in God and soon I am going to have it!. Sent from my SM-G530F using JamiiForums mobile app
  2. B

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Mzee baba naamini kwa uwezo wa Mungu hii gari land Rover Discover 4 ntaimiliki, nadhani kwangu ndio bora zaidi
  3. B

    English learning thread

    I really appreciate this program! Sent from my SM-G530F using JamiiForums mobile app
  4. B

    Bei ya tiketi moja ya pambano la Floyd na McGregor ni sawa na kujenga maghorofa 80 TZ

    Mc Gregory O Connor a.k. a Notorious, hii gemu kwenye boxing ndo yakwanza dhidi ya Floyd Mayweather. Hajawahi kupigwa kwenye mchezo wa mateke na ngumi (Kickboxing ), kaamua kuufukuzia mpunga mrefu kwenye boxing, ujue pambano hilo wanavuta mpunga mrefu mno, ndo maana jamaa kaji-sacrify ingawa...
  5. B

    Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

    Don't wait for America doing for you, but what you will do for America..
  6. B

    Land Rover Discovery 4 - Mega thread

    Mkuu Kudasai Mi mwenyewe hii gari haswa Discover 4, Mungu ni mwema tutamiliki, watu wapo addicted na Japan.
  7. B

    Land Rover Discovery 4 - Mega thread

    Kiongozi hii discover 4 kwa South Africa, inatembea bei gani sokoni?, naikubali sana my only dream car.
  8. B

    Scholarship ya pan africa university

    freelancer2302 we upo shule wapi? I mean nchi ulipo kimasomo.
Back
Top Bottom