Naomba kujua changamoto za kufunga Turbocharger kwenye gari

Wakuu kuna engine mmeisahau naona mnaongelea 1jz, 2jz na boxer engine.

Bmw 3 Series ya mwaka 2006-2008 335i wana engine yao ya n54 single turbo. Hii nayo ni balaaaaaa unaweza uka'tune gari hadi 800hp with stock internals.

Na hii gari bei yake ni affordable used in clean condition with between 60k to 80k miles unaweza pata hata kwa dola 7000 CIF. Zinakuja with 306hp stock hapo hata hujazi'tune. Na pia its very cheap to tune them since turbo kits zake are easily available.

Kuna video zake youtube ikionyesha jinsi inavyozitoa jasho super sports car kuanzia lamborghini, nissan gtr, porsche na wengineo.

Cheki hapa chini Bmw 335i akimtoa jasho Lamborghini Gallardo



Hii hapa video nyingine Bmw 335i akimyoosha Lamborghini Gallardo kwenye drag race

 
mpiga domo,
Wanasema 2jg with stock internals can take 1000hp. hebu mtafute supra 2jg kwenye youtube uone anavowatoa watu jasho la meno
 
Wanasema 2jg with stock internals can take 1000hp..... hebu mtafute supra 2jg kwenye youtube uone anavowatoa watu jasho la meno
stock 2jz internals ni 800hp mkuu (reliably) stock 1jz internals ni 600hp (reliably)

above that jiandae kubadilisha crankshaft, rods, na pistons kama oil
 
Wakuu tusaidiane hapa, subaru forester cc 2000 yenye turbo na cc2000 isiyo na turbo forester hiyo hiyo, ipi inakula zaidi mafuta?
 
Wakuu tusaidiane hapa, subaru forester cc 2000 yenye turbo na cc2000 isiyo na turbo forester hiyo hiyo, ipi inakula zaidi mafuta?
Hili swali mkuu lipo tricky kidogo. Lakini to answer it in short, turbocharged 2000cc subaru itakuwa ina consumed more fuel if you compare it with same model but not turbocharged.

Ilokuwa haina turbo, wakati unaendesha, utiaji wake wa mafuta utakuwa slow ukilinganisha na yenye turbo, turbo inaingiza hewa nyingi zaidi kuliko subaru ilokuwa haina turbo, ili kuhakikisha hakuna detonation inayotokea kwenye engine au stalling yoyote, wakati hewa inaingia nyingi kupitiliza, ECU (engine management Unit) lazima i command mafuta zaidi ili kuendana na Air/fuel ratio, kwa maana hio, wakati turbo inafanya kazi kuingiza hewa nyingi injectors na pump zinafanya kazi kuongeza mafuta mingi zaidi, mzunguko wa utiaji mafuta unakuwa faster, and it means more fuel is consumed.

Hili swali lako linaweza kuwa na jibu jengine ukiwa na different engines. Ukakuta turbocharged iko na ulaji mzuri kuliko ilokuwa haina turbo. Hii pia inatokea hata kwa engine 2 zilizokuwa hazina turbo. Ulaji wa mafuta gari efficiency yake pia hupimwa na nguvu ya gari.
 
Turbocharger ni nzuri sana kwa gari zenye kwenda safari ndefu za Mara kwa Mara au mashindano (Rally).Turbocharger inaongeza engine performance kwa kuwa inawezesha hewa ya ziada kuingia ndani ya cylinder kwa ajili ya kuchoma mafuta. Vizuri, uchomaji mzuri wa mafuta huzalisha power nzuri itakayowezesha uwezo mzuri wa gari kuchanganya haraka....hivyo kukupa comfortable ride at high speeds...
Disadvantage kubwa ya Turbocharger ni kwamba inakula mafuta kwani inatumia nguvu ya engine pia...

Natumaini utakuwa umejifunza kitu kipya..
 
Turbocharger ni nzuri sana kwa gari zenye kwenda safari ndefu za Mara kwa Mara au mashindano (Rally).Turbocharger inaongeza engine performance kwa kuwa inawezesha hewa ya ziada kuingia ndani ya cylinder kwa ajili ya kuchoma mafuta. Vizuri, uchomaji mzuri wa mafuta huzalisha power nzuri itakayowezesha uwezo mzuri wa gari kuchanganya haraka....hivyo kukupa comfortable ride at high speeds...
Disadvantage kubwa ya Turbocharger ni kwamba inakula mafuta kwani inatumia nguvu ya engine pia...

Natumaini utakuwa umejifunza kitu kipya..
Turbocharger haitumii nguvu ya engine mkuu, hio ni supercharger
 
Zote ni kama air compresso ila nk kwamba superchager imekua na hasara kuizid turbochager kwa maana super inamzungunguko mdogo tofaut na turbo na kwa mantik hiyo hapa utaona turbo inavyojichukulia point alafu upasukaj wa engine hayo ni matokeo tuu ya uendeshaji sio moja kwa moja uishutumu turbo maana waste gate valve zisingewekwa kwenye turbo.
 
Zote ni kama air compresso ila nk kwamba superchager imekua na hasara kuizid turbochager kwa maana super inamzungunguko mdogo tofaut na turbo na kwa mantik hiyo hapa utaona turbo inavyojichukulia point alafu upasukaj wa engine hayo ni matokeo tuu ya uendeshaji sio moja kwa moja uishutumu turbo maana waste gate valve zisingewekwa kwenye turbo.
What do you mean unaposema upasukaji wa engine?

Stock turbo engine mara nyingi inayokufa ni turbo yenyewe sio engine. Hii hutokana na quality ya turbo yenyewe. Kampuni za magari zina focus kubana costs matokeo yake wanatengeza turbo ambazo quality sio kama perfomance aftermarket turbos.

Natural Aspirated custom turbo cars engine zake hazipasuki/kubuma (ikiwa ndivo ulivokusudia) kwa sababu ya uendeshaji. Bali sababu kuu huwa ni bad mapping of ecu. Lazima upate mtaalamu akufanyie mapping vizuri, venginevyo engine ita knock au ulaji wa mafuta utakuwa mbaya mno, pia utizame na internals za engine, zitahimili hio powergain? Ukikosea hapa gari yako haitokiwa na maisha mazuri, itakuliza tu.

Kwenye suala la mzunguko inategemea na ukubwa wa supercharger na turbocharger.
 
Yaan kitaalmu iko hv turbo chager ina zunguka zaidi ya mzunguko wa engine na 7bu hapo superchager inazidiwa point na kuusu ubora wa turbo inaaminika kua turbo inayojia na engine toka kiwandani inadumu zaid kuliko ile ya kuinunulia kwa sababu ilifanyiwa majaribio ya kutosha na waundaji wake.
 
Na ukitaka amini kuwa turbo inamzunguko zaid ya ule wa engine wataalam wanakushauri mara nyingi usi off engine mara tu ikiwa imefanya kazi kwa muda fulan hv hii inamaana inatakiwa ipunguze mizinguko ifanane na ile ya engine ndipo uizime.
 
Yaan kitaalmu iko hv turbo chager ina zunguka zaidi ya mzunguko wa engine na 7bu hapo superchager inazidiwa point na kuusu ubora wa turbo inaaminika kua turbo inayojia na engine toka kiwandani inadumu zaid kuliko ile ya kuinunulia kwa sababu ilifanyiwa majaribio ya kutosha na waundaji wake.
hapana nakataa. aftermarket turbos zinadumu zaidi kama zikitumika as intended. abuse ndo huwa inaua turbo kwa mfano garret gt series ni imara sana kuliko factory turbo yoyote ile. why? better engineering.
 
Ukubwa wa superschager usikutishe yaani hyo haina njia ya kujiongezeaa speed kwa sababu hufanya kazi kama ifanyavo water pump au power steering
Mkuu bigger is better vyovyote vile. One full rotation ya turbine yenye lets say 100mm sio sawa na full rotation ya turbo yenye 50mm turbine. wala usifikiri kama all superchargers zina same speed ya mzunguko, it all depends on the engine. One of the big advantage of supercharger over turbo ni instant power delivery, hakuna lag kabisa
 
Back
Top Bottom