Kaka zangu wawili mmoja tumezaliwa baba mmoja na mwingine ni mtoto wa babangu mdogo wote ni wanajeshi ujerumani tena vyeo vya juu kabisa,kakangu alikuwa ananambia ipo siku nitakuwa mkubwa sana,hata ule ukoo wa rafiki wa babu Hao wajeruman kioo hizi hizi za simb.na nilikabiziwa kucha ya simba ya...
Nilikuja kugundua kuwa mimi ni koo hizi unazozielezea miaka10 iliyopita.nilipoenda urambo kwa bibi,mana ilikuwa kila siku jioni saa12 na asubuhi saa12 nimuone simba dume mkubwa sana ikawa kila nikimwambia kakangu ananibishia ikabidi nimweleze bibi mana nilikuwa staki tena kukaa kule ndipo bibi...
Hii hali hata mimi sina raha mara nyingi sijui kwa nini na maisha ya Kati kifupi mazuri mke mzuri michepuko minne mizuri mnoo ila najikuta nakosa raha tu hata sielewi
Huyu hawezi kiuzulu sababu kakubqli kusaini na kutoa tamko,yule aliyepita alijiuzulu sababu hakutaka kusaini wala kutoa tamko alijisingizia uginjwa lakini mpaka leo ana afya tele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.