Recent content by bobefu zoefu

  1. B

    Mbuzi wa mtaani

    msongola polisi wapo wengi tu barabarani
  2. B

    USA wako serious sana. Uchumi wao ni mkubwa sana 30 trillion USD

    Utapingwa na ukweli huu ulio ukweli kwetu sisi
  3. B

    Zijuwe koo za Simba

    Kaka zangu wawili mmoja tumezaliwa baba mmoja na mwingine ni mtoto wa babangu mdogo wote ni wanajeshi ujerumani tena vyeo vya juu kabisa,kakangu alikuwa ananambia ipo siku nitakuwa mkubwa sana,hata ule ukoo wa rafiki wa babu Hao wajeruman kioo hizi hizi za simb.na nilikabiziwa kucha ya simba ya...
  4. B

    Zijuwe koo za Simba

    Nilikuja kugundua kuwa mimi ni koo hizi unazozielezea miaka10 iliyopita.nilipoenda urambo kwa bibi,mana ilikuwa kila siku jioni saa12 na asubuhi saa12 nimuone simba dume mkubwa sana ikawa kila nikimwambia kakangu ananibishia ikabidi nimweleze bibi mana nilikuwa staki tena kukaa kule ndipo bibi...
  5. B

    Utafiti: Watu ulimwenguni kote wanapoteza furaha kadri miaka inavyokwenda

    Hii hali hata mimi sina raha mara nyingi sijui kwa nini na maisha ya Kati kifupi mazuri mke mzuri michepuko minne mizuri mnoo ila najikuta nakosa raha tu hata sielewi
  6. B

    Alichopost Mel Gibson katika mtandao wake wa kijamii

    Huyu hawezi kiuzulu sababu kakubqli kusaini na kutoa tamko,yule aliyepita alijiuzulu sababu hakutaka kusaini wala kutoa tamko alijisingizia uginjwa lakini mpaka leo ana afya tele
  7. B

    Ipi ni season bora ya muda wote kati ya hizi mbili

    Game of throne ni best series
Back
Top Bottom