Zijue vita ambazo Israel imeshinda dhidi ya mataifa mengine

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,309
4,017
1948–49:
Israel dhidi ya mamlaka ya Palestine, vita ya kuikomboa ardhi na kujitafutia uhuru katika ardhi yake ya ahadi.

1956:
Vita dhidi ya taifa la Misri baada ya matishio kutoka Misri, Israel ilivamia Sinai Peninsula ikipeleke kukomboa miji kama Gaza. Baada ya kutokea amani Israel iliiachia Sinai.

1967:
Maarufu kama vita ya siku sita, Israel ilivamiwa na Syria, Jordan na Misri. Kwa intelejinsia nzuri na ustadi wa jeshi la IDF, Israel iliweza kuikomboa Israel ndani ya siku sita.

1973:
Misri na Syria ziliivamia Israel katika siku ya takatifu ya Yom Kippur. Israel walipata maafa makubwa sana lakini tena kwa uwezo mkubwa wakaweza kushinda na kuikomboa Israel.


1982:
PLO waliitumia Lebanon kama kificho chao cha kupambana na Israel, hii ilipelekea Israel kuivamia Lebanon. Baada ya makubaliano na Lebanon, walikubaliana kuitoa PLO iliokuwa imepewa hifadhi nchini humo.

2006:
Hezbollah waliweza kufanya mashambulizi dhidi ya Israel kupitia Lebanon. Hii ilipelekea maafa makubwa kwa Israel. Israel iliweza kupambana hadi kuingia Lebanon kusini na kupambana dhidi ya hezbollah. Hii ilipelekea maafa makubwa kwa wananchi wa Lebanon.


☆☆VIVA ISRAEL, VIVA NCHI YA AHADI☆☆
 
Ngoja wapigane ikiwapendeza nchi zote mbili zitumie silaha ngumu na kali ikiwezekana nyuklia
 
1948–49:
Israel dhidi ya Palestine, vita ya kujitafutia uhuru katika ardhi yake ya ahadi.

1956:
Vita dhidi ya taifa la Misri baada ya matishio kutoka Misri, Israel ilivamia Sinai Peninsula ikipeleke kukomboa miji kama Gaza. Baada ya kutokea amani Israel iliiachia Sinai.

1967:
Maarufu kama vita ya siku sita, Israel ilivamiwa na Syria, Jordan na Misri. Kwa intelejinsia nzuri na ustadi wa jeshi la IDF, Israel iliweza kuikomboa Israel ndani ya siku sita.

1973:
Misri na Syria ziliivamia Israel katika siku ya takatifu ya Yom Kippur. Israel walipata maafa makubwa sana lakini tena kwa uwezo mkubwa wakaweza kushinda na kuikomboa Israel.


1982:
PLO waliitumia Lebanon kama kificho chao cha kupambana na Israel, hii ilipelekea Israel kuivamia Lebanon. Baada ya makubaliano na Lebanon, walikubaliana kuitoa PLO iliokuwa imepewa hifadhi nchini humo.

2006:
hezbollah waliweza kufanya mashambulizi dhidi ya Israel kupitia Lebanon. Hii ilipelekea maafa makubwa kwa Israel. Israel iliweza kupambana hadi kuingia Lebanon kusini na kupambana dhidi ya hezbollah. Hii ilipelekea maafa makubwa kwa wananchi wa Lebanon.


☆☆VIVA ISRAEL, VIVA NCHI YA AHADI☆☆
Unaposema vita ya kujitafutia uhuru dhidi ya Palestine, unamaanisha Palestine aliwahi kuwa Colonial master wa Israel?
 
Huwezi kupigana na mtu Hana jeshi ukasema umeshinda Taifa la palestina baada ya kuporwa nchi Yao hawakurusiwa kuwa na jeshi lolote hivo wananchi wachache wenye uchungu na nchi Yao ndio hao unasikia wanamgambo au Hamas au Hezbollah

Mwanamgambo tokalinini akashinda vita ni vikundi vidogo vidogo vya watu wenye hasira na nchi Yao kasome vitabu na historia vizuri.

Hii vita wa kuiamua ni mungu tu na haijaanza Leo wala Jana
 
1948–49:
Israel dhidi ya mamlaka ya Palestine, vita ya kuikomboa ardhi na kujitafutia uhuru katika ardhi yake ya ahadi.

1956:
Vita dhidi ya taifa la Misri baada ya matishio kutoka Misri, Israel ilivamia Sinai Peninsula ikipeleke kukomboa miji kama Gaza. Baada ya kutokea amani Israel iliiachia Sinai.

1967:
Maarufu kama vita ya siku sita, Israel ilivamiwa na Syria, Jordan na Misri. Kwa intelejinsia nzuri na ustadi wa jeshi la IDF, Israel iliweza kuikomboa Israel ndani ya siku sita.

1973:
Misri na Syria ziliivamia Israel katika siku ya takatifu ya Yom Kippur. Israel walipata maafa makubwa sana lakini tena kwa uwezo mkubwa wakaweza kushinda na kuikomboa Israel.


1982:
PLO waliitumia Lebanon kama kificho chao cha kupambana na Israel, hii ilipelekea Israel kuivamia Lebanon. Baada ya makubaliano na Lebanon, walikubaliana kuitoa PLO iliokuwa imepewa hifadhi nchini humo.

2006:
Hezbollah waliweza kufanya mashambulizi dhidi ya Israel kupitia Lebanon. Hii ilipelekea maafa makubwa kwa Israel. Israel iliweza kupambana hadi kuingia Lebanon kusini na kupambana dhidi ya hezbollah. Hii ilipelekea maafa makubwa kwa wananchi wa Lebanon.


☆☆VIVA ISRAEL, VIVA NCHI YA AHADI☆☆
Hili taifa Wafilisti wanalijua vizuri tangia enzi za Goliath wa gath.
 
1948–49:
Israel dhidi ya mamlaka ya Palestine, vita ya kuikomboa ardhi na kujitafutia uhuru katika ardhi yake ya ahadi.

1956:
Vita dhidi ya taifa la Misri baada ya matishio kutoka Misri, Israel ilivamia Sinai Peninsula ikipeleke kukomboa miji kama Gaza. Baada ya kutokea amani Israel iliiachia Sinai.

1967:
Maarufu kama vita ya siku sita, Israel ilivamiwa na Syria, Jordan na Misri. Kwa intelejinsia nzuri na ustadi wa jeshi la IDF, Israel iliweza kuikomboa Israel ndani ya siku sita.

1973:
Misri na Syria ziliivamia Israel katika siku ya takatifu ya Yom Kippur. Israel walipata maafa makubwa sana lakini tena kwa uwezo mkubwa wakaweza kushinda na kuikomboa Israel.


1982:
PLO waliitumia Lebanon kama kificho chao cha kupambana na Israel, hii ilipelekea Israel kuivamia Lebanon. Baada ya makubaliano na Lebanon, walikubaliana kuitoa PLO iliokuwa imepewa hifadhi nchini humo.

2006:
Hezbollah waliweza kufanya mashambulizi dhidi ya Israel kupitia Lebanon. Hii ilipelekea maafa makubwa kwa Israel. Israel iliweza kupambana hadi kuingia Lebanon kusini na kupambana dhidi ya hezbollah. Hii ilipelekea maafa makubwa kwa wananchi wa Lebanon.


☆☆VIVA ISRAEL, VIVA NCHI YA AHADI☆☆
Na hii ya mwaka huu
 
Huwezi kupigana na mtu Hana jeshi ukasema umeshinda Taifa la palestina baada ya kuporwa nchi Yao hawakurusiwa kuwa na jeshi lolote hivo wananchi wachache wenye uchungu na nchi Yao ndio hao unasikia wanamgambo au Hamas au Hezbollah

Mwanamgambo tokalinini akashinda vita ni vikundi vidogo vidogo vya watu wenye hasira na nchi Yao kasome vitabu na historia vizuri.

Hii vita wa kuiamua ni mungu tu na haijaanza Leo wala Jana
Ebu acheni uongo bwana, kuna nchi inakatazwa kuwa na jeshi na ni sheria ya wapi hii na ilitungwa lini na wapi na wakiamua kuunda jeshi inakuwaje..!!😂😂😂
 
Kuna bahadhi ya ambush Israel alifanyiwa ambazo Bila msaada wa nchi za kimagharibi, Israel ingekwisha futika katika uso wa Dunia.
Mfano, ambushi ya mwaka 1972 aliyofanyiwa na Misri akishirikiana na shosti zake.
 
Huwezi kupigana na mtu Hana jeshi ukasema umeshinda Taifa la palestina baada ya kuporwa nchi Yao hawakurusiwa kuwa na jeshi lolote hivo wananchi wachache wenye uchungu na nchi Yao ndio hao unasikia wanamgambo au Hamas au Hezbollah

Mwanamgambo tokalinini akashinda vita ni vikundi vidogo vidogo vya watu wenye hasira na nchi Yao kasome vitabu na historia vizuri.

Hii vita wa kuiamua ni mungu tu na haijaanza Leo wala Jana

Nani anaetoa kibali cha nchi fulani kuunda jeshi lake? Mambo mengine ni very illogical inatilia shaka utimamu wa muongeaji.
 
Ebu acheni uongo bwana, kuna nchi inakatazwa kuwa na jeshi na ni sheria ya wapi hii na ilitungwa lini na wapi na wakiamua kuunda jeshi inakuwaje..!!
Jitaidi kusoma au kutafuta ukweli kabla ya kupinga au kukubali chochote na usitosheke na maarifa kidogo kuwa na kiu ya kukichimba kitu mpka upate ukweli
Screenshot_20231010-195725~2.jpg


Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Nani anaetoa kibali cha nchi fulani kuunda jeshi lake? Mambo mengine ni very illogical inatilia shaka utimamu wa muongeaji.
Huelewi kabisa mambo yalivyo kati ya Israel na palestina,usikiapo neno 'mamlaka ya ndani ya palestina: huwa unaelewa nini?!
 
Ebu acheni uongo bwana, kuna nchi inakatazwa kuwa na jeshi na ni sheria ya wapi hii na ilitungwa lini na wapi na wakiamua kuunda jeshi inakuwaje..!!😂😂😂
Kaisome ujerumani baada ya Hitler kupigwa
Mbna bishana mambo msio yajua vijana
Hamas kundi teule
 
Hizi propaganda ila hii propaganda ya 2006 imezidi
Lebanon kweli walipata madhara makubwa ya vifo
Ila waliongeza eneo la ardhi yao sababu kuna maeneo yalikua yanakaliwa na mazayuni ilibidi wayaachie kwa Hizbullah
Mtoa mada propaganda zenu zinatumia nguvu sana ila mnajisahau kua hatupo miaka 80 mambo yapo wazi sana siku hizi kama nyeti za kuku yaani
 
Back
Top Bottom