Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,133
- 2,986
Salam za Jumapili.
Nipo zangu ndani ya bajaji, ghafla tu mjadala wa vigezo vy timu kushiriki African Football League ukaanza ( maarufu kama Supa Ligi).
Kuna mgeni amealikwa sijui wanamuita Mwalimu, hata sielewi kama huyu huko hata kama awe anafundisha dini atakuwa anaeleweka. Watangazaji nao wamebaki kushindwa hata kumsaidia kumpa ufafanuzi.
Shafii na Alex hiki kipindi naona mmeshindwa kukipa hadhi, mkifute kabisa. Watu wazembe kama hao mnawawekaje studio, hata hao mnaowaalika mnawapataje? Naona mnataka mtiki box tu posho ziliwe.
Hivi kweli haileweki ni vipi Simba, Enyimba, TP mazembe, Petro Atletico wapo katika mashindano? Mtu anahoji eti kwa nini Yanga hayupo kisa amecheza Fainali CCFC?
Tuwe makini katika kazi hasa hizi zinazopeleka taarifa kwa umma.
Nipo zangu ndani ya bajaji, ghafla tu mjadala wa vigezo vy timu kushiriki African Football League ukaanza ( maarufu kama Supa Ligi).
Kuna mgeni amealikwa sijui wanamuita Mwalimu, hata sielewi kama huyu huko hata kama awe anafundisha dini atakuwa anaeleweka. Watangazaji nao wamebaki kushindwa hata kumsaidia kumpa ufafanuzi.
Shafii na Alex hiki kipindi naona mmeshindwa kukipa hadhi, mkifute kabisa. Watu wazembe kama hao mnawawekaje studio, hata hao mnaowaalika mnawapataje? Naona mnataka mtiki box tu posho ziliwe.
Hivi kweli haileweki ni vipi Simba, Enyimba, TP mazembe, Petro Atletico wapo katika mashindano? Mtu anahoji eti kwa nini Yanga hayupo kisa amecheza Fainali CCFC?
Tuwe makini katika kazi hasa hizi zinazopeleka taarifa kwa umma.