Recent content by Board member

  1. Board member

    Hospital za Dar wanajua kweli kuiba

    Typhoid na malaria zinapimwa kwa kutumia damu kama sample. UTI mkojo.
  2. Board member

    Msaada: Jinsi ya kurudisha Google Account

    Kwa situation iliyopo kwenye akaunti yako, kwa kuwa unasema unayo password, namna pekee ya kulog in ni kutumia kifaa ambacho umewahi kukitumia kulog in hapo mwanzo, na kuwa kwenye location ambayo pia umewahi kulog in ukiwapo. Hapo utaweza just kusign in na kuitumia ila hutoweza kubadilisha...
  3. Board member

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Me natafuta wimbo wa mapacha watatu (Kalala jnr, Jose Mara na Khalid Chokoraa) wimbo unaitwa sauti ya marehemu.
  4. Board member

    Picha: athari ya mvua Huko mtaani kwako Hali ipoje?

    Bila shaka hii ni Ifakara kaka. Hali ni mbaya sana
  5. Board member

    Sio sahihi kwa Clouds Media kuwachanganya Tundu Lissu na Zitto Kabwe

    Huyo presidential material sio raia?
  6. Board member

    Napendekeza TISS ivunjwe, iundwe Upya

    Umeuliza vitu vya kufikirisha sana mkuu. Ni kweli kabla ya kuivunja taasisi kama hii ni muhimu kujiuliza hayo mambo ili kupata mwendelezo wa kazi za kitaasisi. Ila nadhan wafanye kama 1964 ambapo jeshi la Tanganyika rifles lilivunjwa na kuundwa JWTZ.
  7. Board member

    Computer4Sale Nauza Laptop Mac book Air ya 2017

    Specifications zake zikoje?
  8. Board member

    Ferre Gola: Mfalme asiye na nyota

    1. Fautif 2. Kamasutra 3. Royaume 4. Wait and see 5. Eyindaka mabe 6. Maboko pamba 7. Marathon 8. Liberte 9. Carte rose 10. Tiela na nga te 11. Toc toc 12. Poison d'avrill 13. Mea culpa 14. 100 kilos 15. Judgement 16. Visas 17. Ecologne 18. Ifunaia 19. Chichiwash 20. Ekoti ya Nzube 21. Eclipse...
  9. Board member

    Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

    Mbona unamuwekea maneno??
  10. Board member

    Azamu TV acheni udini kwenye channel zenu

    Kuna sheria wameivunja? Hiyo sio mali ya umma kwamba haitakiwi kuwa na upendeleo. Adhabu unayoweza kuwapa ni kususia kuangalia channel zao kama unaweza.
  11. Board member

    Ombi la Haraka la Uchunguzi wa Ushindani wa Haki katika Ligi Kuu ya NBC

    Kwani hujui kwamba Tarimba Abbas wa Sportpesa ni mjumbe wa bodi ya wadhamini ya yanga?
  12. Board member

    Ombi la Haraka la Uchunguzi wa Ushindani wa Haki katika Ligi Kuu ya NBC

    Ningeiona barua ningeamini coz sitaki kukubali kama Jemedari amekua mpuuzi kiasi hiki. Pia angeanisha kwa huo udhamini wa timj nyingi nani ni mnufaika na kwa namna gani? 1. Miaka kadhaa nyuma Sportpesa walidhamini simba na yanga, pia nadhani bia ya kilimanjaro ilidhamini simba na yanga, nani...
  13. Board member

    Nashindwa kumsamehe huyu mpenzi wangu

    Ushauru wangu. Huyo mama mkwe ni tatizo. Ili kumuepuka Kutana na binti, mkafanye uchunguzi kuhusu mifumo yenu ya uzazi wote wawili. Kisha kama hamna tatizo muoe ili uwe na full control of her coz hata mama yake itabidi asiwe na maamuzi kwa binti ambaye ameshaolewa. Kuhusu hormonal imbalance...
  14. Board member

    Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

    Ni kama hujaelewa concern yangu mkuu. Maana unachonijibu nintofauti kabisa na comment yangu.
Back
Top Bottom