Mbona haina maana topic yako bro au swala la kiki we hulifanyi nn okay kama hujui nini maana ya kiki usinge andika hii thread which means unatk kik attention [emoji12] [emoji12] Acha ujinga tafuta hela watu wanafanya vitu vng kufany uchum wao ubalance we unaita kiki by the way ile ni kaz yake so...
Some people are here kwa lengo la kuangusha watu hata kwakile kidogo au cha kawaida walichokifanya but u, ur the best Mam hii project ikipata devlpmnt its massive [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Habari za muda wapendwa kumputer yangu haidisplay option ya wifi hata ninapowasha wifi ila mwanzoni nilikuwa natumia kama kawaida wireless naomba msaada kwa wataalam.
Wewe kila kitu una search mtandao au wanao jadiri hapa mitandaoni hayapo au hayo ya mitandaoni yanatoka wapi kama haya andikw na watu na watu si ndio hawa wa JF acha ushamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.