Phone number generator (PNG) - by bl4ckbo7

Phone number generator (PNG) - by bl4ckbo7

Its like useless, labda sielewi. Kazi ya namba za simu ni nini?
Mie nimejaribu kumfuatilia na kila akitoa ufafanuzi ndio anazidi kunikoroga, mara onyo...mara zingatia....mara huwezi kuzitumia kwa sasa....

Sasa za nini na umezitengeneza za nini??

sio kwa sababu ya Tanzania ya viwanda basi tunakurupuka tu na hata vitu tusivyohitaji kwa sasa.

Eti umeibuni mwenyewe then what??

Ndio wale wale mafunzo ya ujasiliamali kutengeneza sabuni na rangi mwisho wa siku hamna anayezitamani.
 
sasa hyo software kama inaweza kugenarate hadi no ambazo zipo hewan kuna tofati gani na mimi nkiamua tuu kutunga no zangu kwa kichwa?? naona hakna tofauti
 
mkuu nimekuelewa sana, hii kwa mtu makini ni kitu yenye msaada sana, naomba pia maelekezo ya namna ya kujua namba zipi zipo hewani na ambazo hazipo maana nimejaribu kuchek ina ugumu kwenye kuitumia tofauti na hiyo ya ku generate Andy Kawa
 
jarib pia kuandaaa system ambayo kutakuwa na virtual namba....ingekuw poa sana, hata kama kwa code zingine sio lazima za bongo tu.

Sawa kaka! Nashukuru kwa ushauri...Nitajitahidi baadae kuandaa hicho kitu
 
sasa hyo software kama inaweza kugenarate hadi no ambazo zipo hewan kuna tofati gani na mimi nkiamua tuu kutunga no zangu kwa kichwa?? naona hakna tofauti

Ni kama unaweza kutunga namba za simu 500 za mitandao tofauti ndani ya dakika 4 basi achana nayo hiyo program.

Nashukuru kwa criticism! Nice challenge tho!
 
sasa hyo software kama inaweza kugenarate hadi no ambazo zipo hewan kuna tofati gani na mimi nkiamua tuu kutunga no zangu kwa kichwa?? naona hakna tofauti

Ni kama unaweza kutunga namba za simu 500 za mitandao tofauti ndani ya dakika 4 basi achana nayo hiyo program.

Nashukuru kwa criticism! Nice challenge tho!
 
Audience yako ni watu wenye uelewa mdogo na IT au uelewa mdogo kwenye masuala ya hacking, hivyo hawawezi kuona manufaa ya hiyo program. Kimsingi, matumizi ya hii program kwa mtu wa kawaida ni madogo sana maana registration nyingi zinazohitaji namba ya simu huwa zinaverify kwa kutuma SMS na kwakuwa hiyo ni namba tu sio chip basi inakuwa haina faida. Hata hivyo natambua umuhimu wa program yako ktk [HASHTAG]#CyberSec[/HASHTAG].

Program yenye manufaa zaidi ingekuwa ile inayo-generete password maybe between 6-8 characters. Ingawa nayo haina manufaa kwa mtumiaji wa kawaida, at least ni interesting kwamba inamuwezesha mtu kupata illegal access kama anajua username. Nyingine ni ku-guess possible usernames kulingana na majina ya mtu. Unaweza ukafanya kwa email addresses pia. Tena ya email addresses ni muhimi zaidi maana unaweza ukawa unaziuza kwa ajili ya marketing/advertisement purposes.


Ability to generate phone numbers, pin, passwords, usernames and email addresses is crucial in hacking/offensive defense. Looking forward to working with you in [HASHTAG]#CyberSec[/HASHTAG] someday Andy Kawa
 
Tuko pamoja ingawa mpaka hapa bado sijaelewa manufaa ya hii app.
 
Audience yako ni watu wenye uelewa mdogo na IT au uelewa mdogo kwenye masuala ya hacking, hivyo hawawezi kuona manufaa ya hiyo program. Kimsingi, matumizi ya hii program kwa mtu wa kawaida ni madogo sana maana registration nyingi zinazohitaji namba ya simu huwa zinaverify kwa kutuma SMS na kwakuwa hiyo ni namba tu sio chip basi inakuwa haina faida. Hata hivyo natambua umuhimu wa program yako ktk [HASHTAG]#CyberSec[/HASHTAG].

Program yenye manufaa zaidi ingekuwa ile inayo-generete password maybe between 6-8 characters. Ingawa nayo haina manufaa kwa mtumiaji wa kawaida, at least ni interesting kwamba inamuwezesha mtu kupata illegal access kama anajua username. Nyingine ni ku-guess possible usernames kulingana na majina ya mtu. Unaweza ukafanya kwa email addresses pia. Tena ya email addresses ni muhimi zaidi maana unaweza ukawa unaziuza kwa ajili ya marketing/advertisement purposes.


Ability to generate phone numbers, pin, passwords, usernames and email addresses is crucial in hacking/offensive defense. Looking forward to working with you in [HASHTAG]#CyberSec[/HASHTAG] someday Andy Kawa
Some people are here kwa lengo la kuangusha watu hata kwakile kidogo au cha kawaida walichokifanya but u, ur the best Mam hii project ikipata devlpmnt its massive
 
Some people are here kwa lengo la kuangusha watu hata kwakile kidogo au cha kawaida walichokifanya but u, ur the best Mam hii project ikipata devlpmnt its massive

Mi nashindwa kuwaclassify watu kama hao, ila poa tu haina shida, mi huwa nafanya things which are within my personal interests. Sipendagi kukata tamaa kirahisi, by the way kunaprojects nyingi nimefanya ikiwemo hata hiyo ya kugenerate passwords tena katika range anayotaka user mwenyewe.

Na YES! We need to work as community, so guys naomba tuendelee kuidevelop hiyo app, hopefully kama ulivosema kaka, itakuja kuwa very awesome baadae!

Thank you fellow members!
 
Audience yako ni watu wenye uelewa mdogo na IT au uelewa mdogo kwenye masuala ya hacking, hivyo hawawezi kuona manufaa ya hiyo program. Kimsingi, matumizi ya hii program kwa mtu wa kawaida ni madogo sana maana registration nyingi zinazohitaji namba ya simu huwa zinaverify kwa kutuma SMS na kwakuwa hiyo ni namba tu sio chip basi inakuwa haina faida. Hata hivyo natambua umuhimu wa program yako ktk [HASHTAG]#CyberSec[/HASHTAG].

Program yenye manufaa zaidi ingekuwa ile inayo-generete password maybe between 6-8 characters. Ingawa nayo haina manufaa kwa mtumiaji wa kawaida, at least ni interesting kwamba inamuwezesha mtu kupata illegal access kama anajua username. Nyingine ni ku-guess possible usernames kulingana na majina ya mtu. Unaweza ukafanya kwa email addresses pia. Tena ya email addresses ni muhimi zaidi maana unaweza ukawa unaziuza kwa ajili ya marketing/advertisement purposes.


Ability to generate phone numbers, pin, passwords, usernames and email addresses is crucial in hacking/offensive defense. Looking forward to working with you in [HASHTAG]#CyberSec[/HASHTAG] someday Andy Kawa


Habari mama! Nashukuru kwa support na mchango wako katika thread hii niliyopost kwa lengo tu la kuwainspire ndugu zangu watanzania wengine wenye wivu na kazi hii ya Cyber Security and likes.

Hii ni among of my personal projects nilizotengeneza this year, including hiyo ya kugenerate passwords, na nyingine ambayo ni Caesar Cipher(encrypt, decrypts na bruteforcing), Advanced password cracker na kadhalika. Napenda sana kuwa natengeneza applications hizi za Cyber Security, na ninajitahidi kutengeneza nyingine zaidi kwa kadiri ya muda ntakaokuwa nao.

Nitafurahi pia kufanya kazi na wewe katika siku za usoni.

Asante! Karibu HackerHub | Forum Board
 
Habari mama! Nashukuru kwa support na mchango wako katika thread hii niliyopost kwa lengo tu la kuwainspire ndugu zangu watanzania wengine wenye wivu na kazi hii ya Cyber Security and likes.

Hii ni among of my personal projects nilizotengeneza this year, including hiyo ya kugenerate passwords, na nyingine ambayo ni Caesar Cipher(encrypt, decrypts na bruteforcing), Advanced password cracker na kadhalika. Napenda sana kuwa natengeneza applications hizi za Cyber Security, na ninajitahidi kutengeneza nyingine zaidi kwa kadiri ya muda ntakaokuwa nao.

Nitafurahi pia kufanya kazi na wewe katika siku za usoni.

Asante! Karibu HackerHub | Forum Board
mkuu nimefanikiwa kuji subscribe kupitia link uliyoweka, nimekuuliza swali hapa hujanijibu. ukisha generate namba namna ya kuangalia namba zinazotumika na zisizotumika inasumbua, naomba uelekeze step kwa step mkuu
 
mkuu nimefanikiwa kuji subscribe kupitia link uliyoweka, nimekuuliza swali hapa hujanijibu. ukisha generate namba namna ya kuangalia namba zinazotumika na zisizotumika inasumbua, naomba uelekeze step kwa step mkuu

Asante kaka!

Mpaka sasa unachoweza kufanya ukishagenerate hizo namba, check kama number ni valid au reachable click hapa.

Pia unaweza ukacheck hapa namba hiyo ni ya mtandao gani kwa uhakika zaidi.

Shukurani!
 
Namba unagenerate sawa. Line / cheap unapata wapi?. Nini hasa faida yake?
 
Asante sana kaka kwa swali zuri!

Kwa ningeanza kwa na kutoa ufafanuzi wa jinsi gani hiyo program inagenerate number za simu husika. Kama tunavyojua kuwa kila mtandao wa simu unanamba mbili (za mwanzoni baada ya 0 au +255) kuutofautisha na namba za mitandao mingine - namaanisha kwa mfano TIGO zao huwa ni 065xxxxxxx, 067xxxxxxx, na 071xxxxxxx ambazo huzitofautisha na mitandao mingine kama voda, Airtel na wengine ambao nao pia wanazo zakwao.
Hivyo program hii inatumia mfumo flani wa kuzitengeneza namba hizi kwa kila laini utakayoitaka, na ni mfumo ambao mimi ndo nimeutengeneza kwenye hiyo program yangu.

Namba ya simu imegawanywa katika sehemu tatu;

Mfano: +255-712-123456

1) +255
-Yenyewe inatambulisha ni eneo gani la nchi / kijeografia namba ya simu inapotumika. Mfano hiyo +255 ni kwa namba za Tanzania zipo nyingine za nchi nyingine na kadhalika.

2) -712-
-Namba hizo baada ya +255 zinatambulisha namba hiyo ni ya mtandao gani. Je, ni Tigo, voda, airtel au Halotel au wowote ule.

3) -123456
-Namba hizi ndo za mtumiaji wa mtandao husika wa simu, ni namba ambazo hazijirudii na wala kufanana na mtumiaji mwingine wa mtandao huohuo.

Faida za App hii:
Ingawa kwa sasa namba hizo zinazotengenezwa na app hiyo haziwezi kutumika hewani, yaani huwezi kupokea wala kupiga nazo simu wala kutuma na kupokea message.

Zifuatazo ni baadhi ya matumizi yake:

a) Unapotaka kutengeneza namba nyingi za simu labda kwaajili ya kuonyeshea sehemu flani, mfano labda unakazi/project ya kufanya na unataka kupata namba za simu nyingi tofauti tofauti kwaajili ya kujaza kwenye kazi yako hiyo.

b) Kwenye michezo ya bahati nasibu kama alivosema mwenzetu Machozi ya Simba.

c) Popote pale utakapotaka kutumia kama hutaki kutoa namba yako halisi ya simu. ZINGATIA: Isiwe kwenye mtandao au tovuti wanayotaka confirmation wala verification ya namba ya simu, kwa sababu hutaweza kupokea ujumbe huo wa maandishi.

ONYO: App hii inaweza ikagenerate namba za simu ambazo pia zinatumika na watu wengine, hivo kuwa makini!

Karibu HackerHub | Forum Board
No benefits whatsoever
 
Namba unagenerate sawa. Line / cheap unapata wapi?. Nini hasa faida yake?

"Audience yako ni watu wenye uelewa mdogo na IT au uelewa mdogo kwenye masuala ya hacking, hivyo hawawezi kuona manufaa ya hiyo program. Kimsingi, matumizi ya hii program kwa mtu wa kawaida ni madogo sana maana registration nyingi zinazohitaji namba ya simu huwa zinaverify kwa kutuma SMS na kwakuwa hiyo ni namba tu sio chip basi inakuwa haina faida. Hata hivyo natambua umuhimu wa program yako ktk [HASHTAG]#CyberSec[/HASHTAG].

Program yenye manufaa zaidi ingekuwa ile inayo-generete password maybe between 6-8 characters. Ingawa nayo haina manufaa kwa mtumiaji wa kawaida, at least ni interesting kwamba inamuwezesha mtu kupata illegal access kama anajua username. Nyingine ni ku-guess possible usernames kulingana na majina ya mtu. Unaweza ukafanya kwa email addresses pia. Tena ya email addresses ni muhimi zaidi maana unaweza ukawa unaziuza kwa ajili ya marketing/advertisement purposes.


Ability to generate phone numbers, pin, passwords, usernames and email addresses is crucial in hacking/offensive defense."

Nadhani utaweza kuelewa kitu hapo... ni member mwenzako alichangia hivo. So jifunze hapo pia.
 
No benefits whatsoever

Asante kaka!

Hujui matumizi yake, na huna mahali pa kuitumia, hivo sishangai sana kusoma comment kama hiyo uliyoiandika.

Jifunze, usicriticize kila kitu! Wapo wanaojua mahala pa kuitumia na wanaitumia hata sasa, hivo kama hujui mahala pa kuitumia, ni heri upite uzi huu. Soma pata maarifa zaidi kaka!

Usiku mwema!
 
Moja ya matumizi imetajwa kuwa ni kwenye michezo ya bahati nasibu. Kivipi?
 
Back
Top Bottom