Wadau nimehamia dar kutokea Arusha, ningependa kuelekezwa garage nzuri special kwa germany car especially BMW hapa dar ambayo nitaweza kufanya service na matengenezo ya gari
Shukrani
Mercedes Benz - Germany
BMW - Germany
VW - Germany
Audi - Germany
Ferari - Italia
Buggati Veroin - Germany
Posche -
Lamborgin - Italia
Meserati -
Royce rolls - England & Germany
Hammer - Usa
Cardilac - Usa
Chevrolet - Usa
Lincolin - Usa
Bently - Usa
Kama mtu amekopa gari ana uwezo wa kurejesha mkopo kutokana na kazi au biashara yake its none of ur biziness.
Mo dewji anakopa pesa ki
Kuendeleza viwanda vyake unashangaa nn sasa mtu kukopa pesa kwa ajili ya kuboresha maisha yake na kufukia ndoto za kuwa na maisha mazuri.
Nakushauri wewe...
Mkuu usingalie Fob price peke yale angalia ushuru TRA mini cooper ni gari za maika ya karibuni latest ushuru wake uko juu.
Ni gari nzuri sana kwa sisi wamiliki wa BMW nakuahidi hujatujia kumili bimmer its a monister power, luxury and speed.
Poor advice. Kuna pesa nyingi sana zaidi ya hizo za wabunge kiinua mgongo. Kuna madini kodi hazikusanywi kama inavyotakiwa, vitalu vya uwindaji wanyama wanawindwa kwa bei ya kutupwa, ufisadi wa kutisha kwny uuziji wa vitalu, makusanyo hafifu mazao ya baharini etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.