Recent content by BMI

  1. BMI

    Kwa aina ya Viongozi tuliokuwa nao Tanzania haitakuja kuendelea kamwe.

    Maoni yako ni mazuri,.. Umetafakari vyema!
  2. BMI

    Tanzania tops East Africa in poverty.

    Wakenya wana kasumba endelevu ya ubaguzi,ubinafsi na kujitukurura! Acheni hizo bhn njaaa NJAA tu Mshukuruni Mzungu kwa kuamua kuweka HEADQUARTER Nairobi la sivyo mngekoma nyooo
  3. BMI

    Funzo gani ulilopata katika maisha hadi sasa?

    Nimejifunza ni muhimu sana kuwa mkweli na kujiamini katika mambo yangu
  4. BMI

    Jamii forum university

    Very good idea,.. Educational psychology and life long learning itakuwa department yangu
  5. BMI

    Ushauri: Mke wangu hataki tukaishi kwa wazazi wangu ili tubane matumizi tujenge

    Mkeo anahofu na gubu la wakwe zake. Kaa nae chini mweleze nn maono yako ktk hilo N.B -mwenye maamuz ya mwsho ktk familia ni baba hivyo ni wajibu wake kukufuata ww ktk maamuzi yako. Huwaga hawatumii akili hawa sometimes kuwa ngangari bwashekhe
  6. BMI

    MWALIMU WA PHYSICS NA HESABU KWA O-LEVEL,A-LEVEL NA RESITTERS

    Kwa wale wote wanaotafuta mwalimu gwiji na mbobezi wa kufundisha na mbinu za kifauhulu mitihani niko hapa. Nafanya kazi za mtu binafs lakini pia nina education centre.(HIGH VISION EDUCATION CENTRE-chanika road) Mahala popote ndani ya jiji la Dar napatkana. Kwa mawasiliano na maelezo zaidi Piga...
  7. BMI

    Oman: Mtanzania auawa kwa kusukumwa toka ghorofani. Serikali yetu ipo wapi?

    TURUDI KTK HISTORIA PAN-AFRICANISM NDIO SULUHISHO LA HAYA YOTE.
  8. BMI

    Mwanafunzi wa chuo kikuu anastahili kulipa nauli kiasi gani ktk daladala kisheria???

    Ni mara chache kuona watanzania wanaishi kwa kufuata sheria ama kanuni zilizowekwa ktk jamii. Naomba msaada ktk hili hivi Mwanafunzi wa chuo kikuu anastahili kulipa nauli kiasi gani ktk daladala???? Msaada please nmechoka kuishi kwa mazoea nataka kufuata sheria ktk kila kipengele cha maisha yangu.
  9. BMI

    Msaada wa kisheria

    Dhambi haina mtetezi, Omba msamaha yaishe. Otherwisely tubu kwa mola wako kwa uhalifu ulioufanya. #what goes around it comes around#
  10. BMI

    Stress za Ndoa ndo zimeniokoa (Najibu shutuma)

    Nishawahi kupata msichana wa style yako nilichojifunza malezi ya wazazi wako ndio yanakupa kiburi. Tembea ujionee sikuombei vibaya ila ngoja wazazi wako wavute akili itakaa sawa.
  11. BMI

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Huu sio mpango kila siku chai na karanga tuuu
  12. BMI

    Aliyeipaisha Tanga ajitokeze leo

    Nenda umakondeni ww kiuno feni ni shida
  13. BMI

    Baba wa mchumba wangu alimuua baba yangu

    Kosa ni la mzaz wake na sio yy,... Ukimwacha utakuwa unamwonea bure ndg yangu #jifunze kusamehe na kusahau mambo yaliyopita ili usonge mbele kwa amani#
  14. BMI

    Natamani kurudi kwa mpenzi wa zamani ila nilimuumiza sana

    Haina haja ya kuomba msamaha,..yaliopita achana nayo angalia ya mbele. Maisha hayarud nyuma yanaenda mbele ulimtamkia hivyo kwa sababu so jiamini utampata mzuri na mwenye kujali zaidi yake ###JIAMINI and just look forward###
Back
Top Bottom