BMI
Member
- Nov 23, 2016
- 19
- 13
Ni mara chache kuona watanzania wanaishi kwa kufuata sheria ama kanuni zilizowekwa ktk jamii.
Naomba msaada ktk hili hivi Mwanafunzi wa chuo kikuu anastahili kulipa nauli kiasi gani ktk daladala????
Msaada please nmechoka kuishi kwa mazoea nataka kufuata sheria ktk kila kipengele cha maisha yangu.
Naomba msaada ktk hili hivi Mwanafunzi wa chuo kikuu anastahili kulipa nauli kiasi gani ktk daladala????
Msaada please nmechoka kuishi kwa mazoea nataka kufuata sheria ktk kila kipengele cha maisha yangu.