Hahaha!upo kama Mimi nimeota ndoto hiyo huwezi amini baada ya kumaliza darasa la saba mwaka 99 hadi Leo hii bado inajirudia.Mara kwa Mara naota nipo chumba cha mtihani lakini nashindwa kumaliza maswali, Mara kalamu inagoma kuandika au nachelewa kufika hadi mda was pepa unaisha.Cha ajabu mitihani...
Kukopa sio dhambi wala siyo jambo la aibu.Matajiri wengi wana mikopo kwenye mabenki, serikali zote duniani zina mikopo na Marekani na utajiri wote ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa kukopa hela ndani na nje ya nchi.
Mtu mwenye uelewa mdogo anadhani kukopa ni jambo la aibu au ni dhambi!Kama...
Nazungumzia mikopo ya wafanyakazi tena wa serikali wenye ajira za kudumu. Kwani hata kama ni Sera si huwa zinabadilishwa kuendana na mazingira ya biashara?Benki zote zilianza na hilo sharti baadae zikaamua kuliondoa wamebakia NMB tu ndo bado wanang'ang'ana nalo
Kama kuna benki yenye kiwango cha chini kwenye ubunifu basi NMB ni moja wapo! Wakati benki zingine zikiwa zimeshaachana na lile sharti la kung'ang'ania mfanyakazi anayetaka mkopo lazima mshahara wake upitie benki yao, NMB wao ndo kwanza wanazidi kusisitiza hilo sharti kama kigezo namba moja...
Mkuu inaonekana kwenye somo la kiswahili kipengele cha ufahamu ulifeli sana aisee!Yote hayo aliyoandika muandishi hujaelewa mpaka usubiri comments za wadau?Akipewa mtoto wa shule ya msingi ajibu maswali kutokana na hicho kifungu cha habari hapo juu atapata Marks nyingi kuliko wewe!
Tatizo hamuangalii content mnafocus kwenye minor things!kuchapa kwenye simu ni tofauti kidogo na kwenye kompyuta ambako kuna options nyingi kupangilia kazi yako unayotaka!
Nikiwa kwenye mtihani wa taifa kidato cha pili, baba alisafiri kwenda kijijini ambako mama yake ambaye ni bibi yangu alikuwa anaumwa sana.Huyu bibi alikuwa ananipenda sana.
Bahati mbaya wakati anaumwa sana na kuzidiwa alikua anahitaji anione kabla hajafa. Kama ujuavyo mabibi wanavyopenda...
Kwa muda mrefu kumekua na makelele mengi ya kuienzi lugha yetu adhimu ya Kiswahili hapa Afrika Mashariki. Bila shaka Tanzania inaongoza katika hizo harakati.
Pamoja na makelele hayo, jitihada zinazofanyika ni ndogo kulinganisha na kile kinachopaswa kufanyika. Tuanzie Tanzania. Lugha yetu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.