Recent content by blue eyez

  1. B

    Audio: Hotuba ya Mh. Lema viwanja vya NMC tarehe 7/4/2012

    Heshma kwenu Wakuu, Naombeni kwa mdau yeyote mwenye Audio Link (full coverage) ya hotuba za Mh. Lema na Mh. Mbowe zilizotolewa viwanja vya NMC 7/4/12 juu ya hukumu ya kesi ya Lema na hatma ya ubunge wa Arusha anisaidie hapa ili nipate kuisikiliza. Nawasilisha.
  2. B

    wapi K'moto bomba wadau wa Arachuga?a

    Hunters Pub yes! Yan Kiti moto ya hapo ni moto wa kuotea mbali aisii, asikwambie mtu!
  3. B

    Natafuta kazi: Personal secretary/ au Administrative assistant

    Habari za jioni wadau. Kama kichwa cha bandiko kinavyojieleza hapo juu, tunatafuta nafasi tupu ya kazi (preferably in Arusha) kwa ajili ya mdogo wetu aliyemaliza Kozi yake ya Diploma ya Uhazili katika Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) Tabora, Novemba 2011. Kwa yeyote mwenye taarifa juu ya...
  4. B

    Mzee Punch - "The incognito"!

    Kweli mkuu, hata mimi sasa naanza pata wasiwasi na watu fulani wa humu JF kwa kutokana na kile kiingereza chao chenye maneno magumu magumu mithili ya yale ya Mzee Punch wa enzi izo!
  5. B

    Mzee Punch - "The incognito"!

    Mimi nakumbuka kaka yangu aliwahi kupanchiwa miaka ile ya 98 mimi nikiwa mwaka wa pili Sheria yeye mwaka wa tatu akapewa jina la "toto la majanini" roho yangu ilinumia sana!
  6. B

    hivi ni nani anaweza kunchekesha nifurahi kidogo saa hizi ....

    ebu naombeni kichekesho jamani nicheke kidogo, yaani najiskia bored vibaya sana saa hizi, i am a single lady ...
  7. B

    knock knock!

    Asante nashkuru wanaJF kwa ukaribisho wenu nawapenda wote, Huggy Bear mh..
  8. B

    knock knock!

    ... hodi hodi mpaka chumbani, naombeni kuingia jamani..? i'm 25 yrs old, single lady ...
Back
Top Bottom