ebu naombeni kichekesho jamani nicheke kidogo, yaani najiskia bored vibaya sana saa hizi, i am a single lady ...
Single and a lady!!!
Subiria PM zakukufurahisha.
i am a single lady ...
ebu naombeni kichekesho jamani nicheke kidogo, yaani najiskia bored vibaya sana saa hizi, i am a single lady ...
biashara mtangazo bibie
weka embe zako chumbani kama hazijakuozea
mzima weye, sijakutia machoni, any better?
Halafu wewe haya banaa...sawa tu..Wanaojua mbivu watafuata harufu, hamna haja ya kuziunguza kwa jua.
Dah, we acha tu.Still sick, hopefully mpaka kesho ntakua nimepata nafuu.Weekend wapi?
Halafu wewe haya banaa...sawa tu..
Nani kakukera tumchapeSubiri usikie jinsi siku tatu hizi zilivyokua ngumu mwenyewe utaishia kutoa pole.Yani hata kuongea hamna, KABISA.
Nani kakukera tumchape
Uliziona lakini?Subiri usikie jinsi siku tatu hizi zilivyokua ngumu mwenyewe utaishia kutoa pole.Yani hata kuongea hamna, KABISA.