Mdogo angu Mange, this is Africa and not America ow Europe , pse acha siasa za Tanzania watakufunga bure uache watoto wako, acha tukana watu hii nchi inawenyewe , psee sis STOP
Ni kweli wakuu, Magufuli is presidential by accident sababu chaguo la Jakaya ni mdogo wake Membe na sababu za kumchagua ni upepo uliogeuka baada ya kumkata Lowassa , chama kiliogopa kumpitisha Membe kuogopa kukigawa chama. Ukawa wanamsubili wamuanike tumjue vizuri ili tufanye maamuzi sahihi.
Charles mwijage, ni mtaalamu wa mafuta na gas, wala ajisikii ni mtu anaishi maisha ya kawaida kabisa, anaishi yombo shule pamoja na kupewa Nyumba za mawaziri lakini alikataa na kuendelea ishi uswazi, but ni mtu mwenye hela anakampuni yake ya transportation inaitwa otaligamba ina truck na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.