Recent content by Blog

  1. Blog

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Eicher Bus gani 40 Mil.? Tatizo lako maneno ya Vijiweni mengi unasikiliza
  2. Blog

    Makapuku Forum

  3. Blog

    Makapuku Forum

  4. Blog

    Makamu wa Rais, Joe Biden awafungisha ndoa mashoga wawili nyumbani kwake

    Kuna jamaa ni mchicha mwiba humu naona ana hasira hatari [emoji23][emoji23]
  5. Blog

    Jinsi ya kutumia HTC kuPlay kwenye Flat

    Shukrani mkuu ngoja Kesho nikaangalie Mjini nitakupa MREJESHO
  6. Blog

    Jinsi ya kutumia HTC kuPlay kwenye Flat

    Shukrani sana mkuu Chief-Mkwawa we ni mmoja mtu mwenye msaada sana kwenye Jukwaa hili Mungu akubariki. Any way, kama nikinunua hiyo Adapter ya hdmi kuna sababu ya kuConnect Wireless au ni Adapter peke ake inatosha. Maana TV yangu ni Samsung Flat nimeangalia haina Wireless wala Bluetooth mkuu.
  7. Blog

    Jinsi ya kutumia HTC kuPlay kwenye Flat

    Habari zenu Wakuu poleni na majukumu ya kutuelimisha ambao tupo nyuma kwenye hizi Mambo. Kifupi ni kuwa kuna movie nilichukua kupitia hii Simu ya HTC One kwenye Laptop ya jamaa yangu sasa nataka kuangalia hizi movie kwenye TV aina ya Flat kama USB, lakini imekataa inakuja hii kitu hapa chini...
  8. Blog

    Ezden na picha za aibu, nakupa pole

    Wanaosema vibamia basi wana RAMBOOOOO hah hah hah
  9. Blog

    Ezden na picha za aibu, nakupa pole

    Hicho chumba kweli WATANZANIA bado tu naishi store afu ujikute mtu anavojitanua huko splash au IG hah hah hah
  10. Blog

    Kuwasha taa za gari 'full light' mijini ni ushamba au kutoelewa?

    Mtu mpo barabara ya kupishana njia moja lakin hiyo full light yake unaweza sema anapita MIKUMI au Ngorongoro
  11. Blog

    Madai ya kujifungua, Mashabiki wamvaa Aunty Ezekiel

    Hah hah hah duuh
  12. Blog

    Akimtongoza msichana baadae anamuona wakawaida nini sababu?

    Jamaa atakua mtu wa kujiPimia size yake kiganjani tu
  13. Blog

    Diamond Platinamuz show tatu za nguvu kwa miezi mitatu

    Cku zote Mchawi anamjua Mchawi mwenzake kwahiyo huyo jamaa hata ackupe shida
Back
Top Bottom