Recent content by block q

  1. B

    Tanzania deports hundreds of Ugandans

    Umejihisi, malizia mtori bro.
  2. B

    Askofu Shoo: Viongozi wa dini wasizibwe mdomo wakitekeleza wajibu wao nchini

    Wachaga semeni tuu kama mnataka kujitenga tuwaache na masai wenu
  3. B

    Tanzania deports hundreds of Ugandans

    Wako wapi watetezi Vyademaa
  4. B

    Hivi Msukuma halisi huwa anatokea wapi?

    Wasukuma wametokea Kongo Kusema wametokea Ethiopia ni uwongo wa karne
  5. B

    Hotuba za Rais Magufuli za kichwani zinakera, asome hotuba anayoandaliwa

    Mbona maneno ya kawaida tuu hayo..yawezekana hata wewe hua unawaambia wanao.
  6. B

    Je, adhana na kengele bado vinahitajika tena kuitana misikitini na makanisani kusali?

    Hayo makengele na ma adhana ni uchafuzi tuu wa mazingira
  7. B

    Tanzanians, why are u guys so sad?

    Ina maana Tz ina mashabiki wengi wa Arsenal au vipii?
  8. B

    Tanzania yashika nafasi ya pili Afrika kwa ukuaji wa uchumi

    Apo Bavicha wanatamani kula malimao
  9. B

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nyerere the father of our nation
  10. B

    Kiwanda kikubwa cha Furniture East Africa kujengwa Tanzania

    Hahahaaaa Umekaweza ako kadada poa Kanadhani kila uzi ni wa kurukia tuu na bifu za ki - Chadema na Ccm.
  11. B

    Machinga Complex, mradi uliojifia kibudu! Majengo yageuzwe hostel za IFM au CBE

    Nani alaumiwe..wafanya biashara au serikali ya CCM?
  12. B

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Basi endeleeni kubodanga
  13. B

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sema hivi ..Just the same way umewafundisha... Siyo imewafundisha... "...uzi umewafundisha.." Jifunze upatanisho wa kisarufi
  14. B

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huu uzi angalau umewafundisha Kiswahili hawa ndugu. Ukisoma maoni yao mwanzoni mwa uzi na sasa utaona kuna mabadiliko chanya kidogo ktk utumizi wa lugha.
Back
Top Bottom