Recent content by blaksmith

  1. blaksmith

    CHAKULA

    Usijali mkuu nitakujuza.
  2. blaksmith

    CHAKULA

    Inaitwa SCOBY - symbiotic culture of bacteria and yeast
  3. blaksmith

    CHAKULA

    Habari wandugu, Tafadhali naomba msaada kwa yeyote aliye/anayefahamu mtu anatengeneza (kombucha - fermanted tea)chai iliyochachushwa au wengine wanaita chai ya kichina. nahitaji hiyo chapati - (SCOBY) Mfano:
  4. blaksmith

    Selfie kati ya President Obama na dadake Dr. Auma Obama

    Umekosa sera. Proudly african
  5. blaksmith

    This is SWAG for real (Sio vijana wa siku hizi kutembea makalio wazi)

    Those were the good old days!
  6. blaksmith

    Wapare, Wachaga: Matambiko yamepitwa na wakati

    Na hivyo ulivyoshuhudia ni sehemu ndogo sana ya imani yetu pia maelezo yako yakiwa si sahihi(yenye ushabiki fulani au chuki binafsi). Kwanza kuingia kwenye matambiko makubwa si kila mtu tena hukp ni wa kiume waliochaguliwa. Na hata wakirudi hawawezi kutoa siri ya huko. Atakae kwambia ameenda...
  7. blaksmith

    Wapare, Wachaga: Matambiko yamepitwa na wakati

    Nilichelewa kwenye hii mada. Ila aliyeianzisha amechanganya na ushabiki wa fikra zake. Ila ukweli si huo. Tunatambika mpaka leo, kama si kwenye miti mikubwa basi kwenye majabali au maeneo walipoishi wazee wetu. Hizo ni alama za maeneo tu na si kwamba tunaabudia miti ama mawe. Tofauti iko wapi...
  8. blaksmith

    swali:kuna umuhimu wa kufanya WINDOWS UPDATE?

    Updates ni muhimu sana. Kushauriana kutofanya updates ni kupotoshana kikubwa ni kujua files gani za kukwepa, Kwa mfano kama ni mtumiaji wa Windows 7 kwenye updates za mwanzo kuna file lenye number kb....1033 lina size ya 2 MB hilo inabidi u right click and HIDE kwani ndilo linalocheck kama OS...
  9. blaksmith

    Faida za kutumia ubuntu

    Naona ndugu yangu wewe ni Programmer mchwara.Pole sana kwa kuwadanganya watu kwamba huwezi kutumia Ubuntu na sio ubutu kwenye organization. Kwa taarifa yako Google wanatumia Version ya Ubuntu wanaiita Goobuntu.Tatizo linalowashinda wengi na wewe ukiwa mmoja wapo ni jinsi ya kuitaarisha ili ifae...
  10. blaksmith

    Kwa hackers wote....msaada(sqlmap on ubuntu)

    nadhani ulijaribu hiyo command kabla hujainstall sqlmap.By the way, well done.
  11. blaksmith

    Kwa hackers wote....msaada(sqlmap on ubuntu)

    Jaribu hii command: $which <name_of_program> kwa upande wa matumizi check this link sqlmap.sourceforge.net/doc/README.html
  12. blaksmith

    NAHITAJI Email DATABASE KUBWA

    Fafanua nia yako ni email au ni database empty - Tafuta hapa kama nia yako ni email address Cryptome Tahadhari: kuna databaase za majina na email za watu ndani ya mashirika ya kijasusi USA, hivyo kama unafanyia kazi zako nyumbani sawa lakini kama ni kwa ajili ya spam - kuwa mwangalifu
  13. blaksmith

    Hi all!

    Welcome to JF!
  14. blaksmith

    Simple Houses - Kwa kutumia Cargo Containers!!!

    Kaka hizo ni containers, kwani nina series ya pictures tangu wanayabeba mpaka wanafia hatua hiyo. kuhusu mazingira hilo ni eneo la baridi kali ya kufikia kuganda yaani chini ya minus - kwa hiyo kwa upande wa sehemu za joto kama Dar nadhani itahitaji Ventilation ya kutosha na ku apply rangi inayo...
Back
Top Bottom