Tumia microsoft outlook kaka kama uko kwenye company kubwa unaweza kuwatengenezea email address had 10000.
Kama uko fiti nitafute kwenye hizo no nije kuipiga hyo kaz 0714519880
Na kukufungia database kabisa
Nadhani mwenzako anataka list ya email za watu ili awatumie spam, I'm sorry e-mail "marketing".
Kama una email database kubwa (kuanzia 2000 email addresses )naomba tuwasilane kwa PM.
Asante sana.