Simple Houses - Kwa kutumia Cargo Containers!!!

blaksmith

Member
Mar 25, 2012
31
10
Ningependa kujua kama kuna mtu amejaribu kulifanyia kazi hili wazo - haswa nyumba ya kuishi na sio kibiashara (kama duka)
 

Attachments

  • container_homes.jpg
    container_homes.jpg
    48.6 KB · Views: 88
it iis possible mkuu ila nadhani sio durable kiviile,google dome houses utaona nyumba flani ivi simple zinatengenezwa na polyfoam japo gharama yake bado sifahamu,ni nzuri,cheaper na zinapendeza saana
 
it iis possible mkuu ila nadhani sio durable kiviile,google dome houses utaona nyumba flani ivi simple zinatengenezwa na polyfoam japo gharama yake bado sifahamu,ni nzuri,cheaper na zinapendeza saana

kama hujui gharama mkuu mbona tena umemention kuwa ni cheaper?
 
Inawezekana sema tafuta architecture mzuri ,na werder mzuri,hizo mi naona ni nyumba nzuri na ujenzi ni wa haraka unaassemble tu kwenye eneo la ujenzi9inabidi ukodi gari la winchi,hata mie nimevutiwa sana hasa baada ya kuona nyumba nyingi za majuu ni za kupachika ,angalia kwenye channel ya Fine Living ,Zuku tv kama upo bongo au nenda hgtv/box
 
Nami nimeshuhudia blogspots na baadhi ya Documentary.Nadhani ingekuwa hatua nzuri kwa watu wanaoanza maisha ili kupunguza gharama ya kupangisha na bughudha zake.Kama Europe mpaka Asia wanatumia kwenye ujenzi kwa nini na sisi tusijiunge
 
Ujenzi wa hyo kitu inaweza ikachukua karibia 20m,maana bei ya contena hizo mbili 40" karibia 9m,weka ghrama za ufundi + material!!
 
Ujenzi wa hyo kitu inaweza ikachukua karibia 20m,maana bei ya contena hizo mbili 40" karibia 9m,weka ghrama za ufundi + material!!

Je kipi bora kupangisha au kuwa na private life of your own.Containers si lazima ziwe mpya kabisa hata zilizotumiwa zikiwa katika hali nzuri tu.
 
mkuu hizo ni containers kweli , au ni chuma ngumu inayofanana na containers halafu zinaunganishwa pamoja??!!

vilevile hizo nyumba nahisi lazima ziendane na mazingira ya hali ya hewa ya mahali, mfano kwenye joto kama dari-salama zitafaa kweli ??!
 
mkuu hizo ni containers kweli , au ni chuma ngumu inayofanana na containers halafu zinaunganishwa pamoja??!!

vilevile hizo nyumba nahisi lazima ziendane na mazingira ya hali ya hewa ya mahali, mfano kwenye joto kama dari-salama zitafaa kweli ??!

Kaka hizo ni containers, kwani nina series ya pictures tangu wanayabeba mpaka wanafia hatua hiyo.
kuhusu mazingira hilo ni eneo la baridi kali ya kufikia kuganda yaani chini ya minus - kwa hiyo kwa upande wa sehemu za joto kama Dar nadhani itahitaji Ventilation ya kutosha na ku apply rangi inayo reflect jua na pia kuwa na shading ya kutosha around.

kwa mtazamo wangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom