Competition ya bongo fleva imekuwa kubwa sana..huwezi kutoka kwa kipindi hichi ila ni vizuri kujaribu kuliko kutokufanya kabisa.
Sent from my Lenovo A7000-a using JamiiForums mobile app
Habari za weekend wananchi wenzangu,
Napenda kuwapa heshima kubwa wote wanaochangia humu JF.
Nimekuwa nikifanya research juu ya watafutao wapenzi, wake, michepuko na mirejesho yao pia.
Nimekuwa nikisita sana kuweka tangazo humu ila it's now a point of No return. SERIOUSLY nahitaji mchumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.