Recent content by BLACKLIST 12

  1. BLACKLIST 12

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu,na hii yakutosema kuwa unaenda kwenye sahili inaingia kwenye issue za imani ila inakaukweli flan ndani yake Mambo yako ni vizuri ukayafanya kwa usiri
  2. BLACKLIST 12

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Na mimi nina ushuhuda, Ila kwa alie anzisha uzi huu mungu amtangulie sana,majibu ya vitu vyote vilivyokuwa vinanitatiza katika usahili nimetoa humu,friends wapya nimekutana nao humu,tips za kuwakanda utumishi nimetoa humu,inspiration nimetoa humu… Mtu asichukulie poa kabisa huu uzi📌 you will...
  3. BLACKLIST 12

    Ni lini utumishi wataita watu waliofanya oral za MDAs & LGAs

    Awa TFS na TAWA mikeka yao ya kwenda kozi inatoka lini? Ishapita mwezi sasa tangu wapige oral
  4. BLACKLIST 12

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Leo ndo nimekuja kukumbuka maana halisi ya jina la uzi😂 “Kwanini utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini”
  5. BLACKLIST 12

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tafta affdavit inashida sana mkuu,utatolewa first day kabla hujaanza chochote
  6. BLACKLIST 12

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kupima afya tu,amna mazoezi Watapima sukari, Urefu, HIV, Na kukagua mwili for tatoos, Makovu makubwa, Mishono, Na naniliuu, Viunzi wamefanya forest guard tu
  7. BLACKLIST 12

    Ajira portal

    Status baada ya oral huwa inabadilika muda gani baada ya kufanya oral interview
  8. BLACKLIST 12

    Ajira portal

    Samahan mkuu unaeza fafanua vizuri hapa
  9. BLACKLIST 12

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aliewahi kufanya interview ya forest guard,naomba muongozo
  10. BLACKLIST 12

    Matukio Halisi Yanayothibitisha Uchawi – Utashangaa!

    Ile part unasema alikuwa sebleni anasali afu we huku chumbani unaona kivuli chake naomba unieleweshe kidogo tafadhali
  11. BLACKLIST 12

    Matukio Halisi Yanayothibitisha Uchawi – Utashangaa!

    Unavyosema unaona kivuli chake unamaanisha nini?
Back
Top Bottom