Habari!! Jamii forum.
Naomba kufahamu kama dodoma kuna ofisi za taasisi ya masoko ya hisa CAPITAL MARKETS AND SECURITIES AUTHORITY (CMSA). Je, kama zipo zitakuwa maeneo gani?🙏
😀😀😀 somehow kuna ukweli ndani yake ila mpaka uukate uchipue upya kisha funga gunzi.
Usisahau kunipigia kura kwa kugusa apa chini🙏🏾👇🏾👇🏾👇🏾👉🏾SoC04 - Tanzania tuitakayo: rasilimali watu kwenye ulimwengu wa sayansi na teknolojia
Kwa uelewa juu ya teknolojia tazama chapisho zuri kisha usisahau kunipigia kura🙏🏾🙏🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾SoC04 - Tanzania tuitakayo: rasilimali watu kwenye ulimwengu wa sayansi na teknolojia
Mahusiano yataisha kwa nyie ote kupunguza au kuisha kwa vile vitu mlivyozoeana kupeana mfano upendo, muda, pesa na furaha.
Japokuwa kila mtu anatakiwa atambue dhamira ya yake mfano mahusiano ya kimaendeleo. Mmoja akienda kinyume na hapo kila mtu ni rahisi kupita zake shwaaaaa. #NAWAPENDA
Kwangu sina ukweli kuhusu kazi za kuajiriwa, I mean sina kazi. Ila nahisi uvumilivu, hekima, busara, utii na nidhamu ni nguzo tosha za kulinda kazi yako haijalishi BOSS atakuwa na roho gani kuna siku mungu atatia ukuu wake lazima uonekane. Lazima ubembeleze kinachokupa riziki kwani kuna wengi...
Ninachokifahamu!
Uwepo wa vyama vingi nchini inaleta chachu ya maendeleo kwa chama tawala kisipotimiza sera za nchi na ilani za chama.
Hivyo kupitia ukosoaji wa vyama ambavyo havijashika madaraka ya serikali kuu, hali hiyo inachukuliwa kama changamoto ya kuboresha huduma za kimaendeleo nchini...
Chapisho zuri limeongelea kila kitu namna ya rasilimali watu itaendana na ulimwengu wa sayansi na teknolojia Tanzania soma kisha piga kula kwa kugusa hapa chini👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾SoC04 - Tanzania tuitakayo: rasilimali watu kwenye ulimwengu wa sayansi na teknolojia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.