Recent content by black gHoSt bALe

  1. black gHoSt bALe

    Msaada jinsi ya kupambana na waturutumbi/wachawi

    Mzanaki dawa yao ni kutowaogopa tu
  2. black gHoSt bALe

    Nini sababu ya kutoka ukurutu juu ya mfuko wa korodani?

    Ni fangasi aina ya candida albicans, huo ukurutu ni mazaliana yake pamoja na ngozi ya juu iliyokufa. Atumie Clotrimazole broad fungal cream itakuwa poa baada ya siku kadhaa, kama vile siku 14. Mpe pole mkuu.
  3. black gHoSt bALe

    Ukiwa Mbunge asubuhi unakuta missed calls 500 ,unaombwa mpaka chumvi

    Ndo maana wengine wanahamia mjini baada ya kushinda [emoji23][emoji23][emoji23]
  4. black gHoSt bALe

    Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

    Hajataja jina la mtu kwenye huo wimbo mkuu
  5. black gHoSt bALe

    Mbinu mpya Wanawake hutumia kuhalalisha ndoa...

    Dah mkuu umeua kabisaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. black gHoSt bALe

    Unakumbuka nini siku ya kwanza kufanya ngono?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah!!! Umenifanya nicheke kinoma
  7. black gHoSt bALe

    Kwanini ndege huyu ameitwa ndege mwaarabu?

    Mkuu huyu sio kimilanzoka KimilanzoKa ana shingo ndefu zaidi, mdogo kuliko huyu halafu anawinda nyoka[emoji3]
  8. black gHoSt bALe

    James Lembeli: Walitaja magonjwa ya wenzao wakaacha yao

    Hadi wazilipe pushups zake ndo atawaacha kwa amanib
  9. black gHoSt bALe

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    But kuna something huwa najiuliza sana, wakenya wanasema wako mbele yetu, but wanatuonea wivu sana. Hii kwanini inakuwa hivo?
  10. black gHoSt bALe

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wasameee baba, utawaua [emoji23][emoji23][emoji23]
  11. black gHoSt bALe

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Shikamoo Dar, wakenya nendeni mkachambe kwanza. You Can't compare your city with Dar.
Back
Top Bottom