Leo nimekutana na shabiki la Manchester likiongea kwa uchungu sana kuhusu hizi tetese za Arsenal na Vini.
Limeapia kwa kulamba mchanga kwamba hatuna ubavu wa kumtoa Vini pale Bernabeu.
Hizi habari aisee zinawatesa sana washkaji...
Kubadilisha fikra za watu ni ngumu aiseeee. Imagine huyu mu-Arsrenali Bado 2026 ana mawazo kama tupo 2010s. Nyumbuz je itakuwaje.
Kroenke Interview baada ya kubeba EPL:
"We're not focused on the price tag—we're focused on quality."
"If we're not strengthening, we're stagnating or standing...
Ni kama vile unawaambia wadau "Mimi (Lembu) ndio nimeajiriwa na Chelsea kwa sababu ni bonge la SD, najua sana kandanda na uskauti wa wachezaji"
Huku ukiweka emoji ya [emoji23][emoji23][emoji23] kuonyesha wewe ndo Football na Football ndo wewe. Wewe ndo Chelsea na Chelsea ni wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.