Recent content by Bitilanga

  1. B

    Mpoki atangaza vita na Shigongo & Joseph Shaluwa wa GPL

    Mpoki hata siku moja hawezi kushindana na shigongo wala shaluwa, asahau kabisa!
  2. B

    Hata mimi naweza kuviua vyama vya upinzani!

    Makala: Richard Manyota KAMA uhai wa binadamu unavyojulikana upo katika viungo vipi ndivyo ilivyo kwa vyama vya upinzani nchini kwamba mwenye nia ya kuviua anafahamu pasipo shaka wapi pa kupiga na chama husika kusambaratisha. Mfumo wa vyama hivyo ni wa mchungaji na kondoo, kazi ya adui ni...
  3. B

    Kuna watu wanajua uchawi wa siasa nchi hii!!!!

    HATA MIMI NAWEZA KUVIUA VYAMA VYA UPINZANI! Makala: Richard Manyota KAMA uhai wa binadamu unavyojulikana upo katika viungo vipi ndivyo ilivyo kwa vyama vya upinzani nchini kwamba mwenye nia ya kuviua anafahamu pasipo shaka wapi pa kupiga na chama husika kusambaratisha. Mfumo wa vyama hivyo ni...
  4. B

    Kuna mkaka kanivutia humu MMU

    "One day your eyes will open and your mind will learn,with pain and laughter,you will know what you are." Nakubaliana na wewe kabisa! Aaache mapepe, apende anapopendwa, utajuaje penzi la kweli kwa siku moja tu? Stupid!!!!
  5. B

    Kioja cha mhudumu wa basi la ngorika:

    Ukitaka kwenda Moshi/Arusha, maliza mchezo mzima na KILIMANJARO tu!!!!! Hayo ndiyo mabasi ya uhakika kwa sasa kwa njia ya kwenda Moshi.
  6. B

    Hivi inawezekana kweli kupata mpenzi wa kweli kupitia mitandao ya kijamii?

    Nimekuwa nikikutana na watu wengi wanaotafuta wachumba kwenye mitandao ya kijamii na magazetini. Hivi ni wakweli? Je, wanapata wenzi wa kweli au wana yao jambo? Tupanuane mawazo tafadhali.
  7. B

    Jamani wanaofanya group sex wanatafuta nini?

    Ahsante kwa kunisahihisha. Nilimaanisha, mwanamke mmoja mwenyewe anatoa jasho....wengi je????
  8. B

    Jamani wanaofanya group sex wanatafuta nini?

    Haaa! Nipo serious wewe unaleta utani! Tusaidiane mawazo bwana!
  9. B

    Jamani wanaofanya group sex wanatafuta nini?

    Nimesikia mara nyingi sana, kuwa kuna wanaume huwachukua wanawake wawili au zaidi na kufanya nao mapenzi kwa wakati mmoja? Hivi huwa wanatafuta nini? Ina ladha gani? Mwanamke mmoja mwenye anatoa jasho, kuchukua zaidi ya mmoja ni kutafuta nini?
  10. B

    Soma uwezavyo ukiwa kwangu hamna kufanya kazi

    Hoja yako ina nguvu sana mkuu. Mawazo yako ni sahihi, wanawake wengi wanaofanya kazi ni tatizo kabisa kwenye familia. Mwanaume ndiye mwenye jukumu la kulea familia kwa kila kitu, mwanamke ni kwa ajili ya kumwandalia na kumtunza mumewe. Ndiyo msimamo ulivyo. Pia ndiyo msimamo wa imani zote za...
  11. B

    MSAADA wako wa mawazo tafadhali. Soma kwa makini kisha utoe maoni yako.

    Naitwa Mariam (24) naishi Moshi na niko kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanaume ambaye umri wake ni miaka 48, kwa maana kwamba amenizidi umri mara mbili. Yeye anaitwa Benard. Uhusiano wetu umedumu takriban mwaka mmoja sasa. Tulikutana Morogoro kwa mara ya kwanza, mimi nilienda huko kikazi...
  12. B

    Meseji hii kwa mume au kwa mke... Ungefanyaje?

    Dah! kweli dunia imebadilika, mwezake anaeleza tatizo, mwingine anataka naye apate 0713 hapo hapo....
Back
Top Bottom