Jamani wanaofanya group sex wanatafuta nini?

Jamani wanaofanya group sex wanatafuta nini?

Bitilanga

Member
Joined
Oct 9, 2013
Posts
17
Reaction score
0
Nimesikia mara nyingi sana, kuwa kuna wanaume huwachukua wanawake wawili au zaidi na kufanya nao mapenzi kwa wakati mmoja? Hivi huwa wanatafuta nini? Ina ladha gani? Mwanamke mmoja mwenye anatoa jasho, kuchukua zaidi ya mmoja ni kutafuta nini?
 
njooni wawili niwaoneshe raha yake, hutoacha
 
Nimesikia mara nyingi sana, kuwa kuna wanaume huwachukua wanawake wawili au zaidi na kufanya nao mapenzi kwa wakati mmoja? Hivi huwa wanatafuta nini? Ina ladha gani? Mwanamke mmoja mwenye anatoa jasho, kuchukua zaidi ya mmoja ni kutafuta nini?

mwanamke mmoja mwenyewe nini????!!!!! Unasemaa???!!!!!
 
Huwa wanafanya discussion, mambo ya team work never boring
 
Nimesikia mara nyingi sana, kuwa kuna wanaume huwachukua wanawake wawili au zaidi na kufanya nao mapenzi kwa wakati mmoja? Hivi huwa wanatafuta nini? Ina ladha gani? Mwanamke mmoja mwenye anatoa jasho, kuchukua zaidi ya mmoja ni kutafuta nini?

Kumbe umesikia tu, nilidhani umeshuhudia au umefanya/fanywa hivyo, wamekudanganya hakunaga kitu kama hicho, wala usijaribu. Iko skia veve...???
 
Nimesikia mara nyingi sana, kuwa kuna wanaume huwachukua wanawake wawili au zaidi na kufanya nao mapenzi kwa wakati mmoja? Hivi huwa wanatafuta nini? Ina ladha gani? Mwanamke mmoja mwenye anatoa jasho, kuchukua zaidi ya mmoja ni kutafuta nini?

Nenda kajaribu utapata majibu yako. (Kumbuka kuwa tamaa inaponza)
 
Nimesikia mara nyingi sana, kuwa kuna wanaume huwachukua wanawake wawili au zaidi na kufanya nao mapenzi kwa wakati mmoja? Hivi huwa wanatafuta nini? Ina ladha gani? Mwanamke mmoja mwenye anatoa jasho, kuchukua zaidi ya mmoja ni kutafuta nini?

Inaitwa mtungo,kwa waliosoma boys boarding school wanakumbuka hii terminology! Nakumbuka enzi zangu Iyunga Tech vijana walivyokuwa wanawatenda mabinti wa Itende/Meta! Madhara yake kama umeshafikia miaka 18 nadhani ulipata kuyasoma hata kwenye magazeti ama vipeperushi vya elimu ya afya!
 
Humu utapata habari za uongo nz kweli na zaidi utapondwa,,,,,la muhimu na wewe jaribu ndio utapata jibu sahihi
 
ni kama wali mweupe na pilau kwenye.
 
Back
Top Bottom