Recent content by BITCOIN

  1. BITCOIN

    Uchawi gani umetumika kuiba hela zangu kwenye kibubu?

    Somo la kuacha kuusikiliza mwili ndo limenishindaa apa naitaj muongozooo
  2. BITCOIN

    Upi umri wa kustaafu utumishi wa umma?

    Anataka alipwe kuacha kazii
  3. BITCOIN

    Upi umri wa kustaafu utumishi wa umma?

    Uko SAHIHI lakini hata UMRI WA kuishi ni huo huo WA KUSTAAFU Sasa unafanya KAZI Ili ufe
  4. BITCOIN

    Upi umri wa kustaafu utumishi wa umma?

    Nadhani Kuna haja Sheria ibadilishwe Kwa trend ya ajira na changamoto iliyopo Ili keki ya ajira iwapate wengi lazima KUSTAAFU Kwa hiari na mafao yawepo Kwa anaestaafu hata kama katumikia miaka 5 apewe alichostaili Then serikali iweke mpango mzuri WA kuajiri Naona kabisa wanaotaka KUSTAAFU...
  5. BITCOIN

    Black Box ya Precision Air namba PW 494 -5H-PWF iliyopata ajali ipo wapi?

    Hii ajali CVR AU FDR uwezi skia zimetumika
  6. BITCOIN

    Ndugu wananikabidhi watoto wao niwalee, Je nikubali au nikatae?

    Wambie ukweli acha kuzunguka zunguka uonekane una roho safi Serikalini ni umaskini tu na uhakika wa kula pesa hamna hadi uwe mwizi Watu mtaani bado wana idea na mentality za ajira serikalini umetoboa ukute apo una deni Embu kuwa mwanaume ndugu saidia akiwa kwake
  7. BITCOIN

    Kisa nilicho kutana nacho huu mwaka katika kutafuta ajira

    anataka acontrol property kabla hata haijaingia sokoni badae aje atupe alivomla wakujitolea kimasihara [emoji28] full capitalism [emoji23]
  8. BITCOIN

    Captaiin Mohamed Hussein Tshabalala " Zimbwe jr" aoa

    moyo wake ndo umemtuma Apo na mpa 9/10
  9. BITCOIN

    Huyu Tajiri wenu ni mshamba na mswahili

    Unamjua ELON MUSK wewe
  10. BITCOIN

    Vijana wa CHADEMA Arusha wagoma kushiriki maandamano kuhusu suala la Mbowe

    Kuna watu kwenye system ya fisiemu kama wana kinyesi kichwani
  11. BITCOIN

    Mwanamke akikulazimisha kufanya mapenzi ana haki ya kukupa habari za ujauzito

    toeni mapema msisumbue mtoto wa watu akijazaliwa
  12. BITCOIN

    Naombeni ushauri juu ya huyu binti simuelewi elewi

    Andaa mahitaj ya mtoto acha kusumbua watu Mbona kabla ya kulana hamji kuomba ushauri
  13. BITCOIN

    Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

    marafiki zangu mimi walishanisoma utaskia we bitcoin njoo kuna ndoo yako moja apa natafakari najiambia kwani nini uyoo nkilewa sasa nageuka boss wape kama walivooo [emoji23][emoji23] Kesho sina ata ya maji ya kunywa. ila unajitukana maisha yanazonga [emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom