Uhandisi ndiyo fani pekee duniani inayotoa majibu halisi kwa walaji tofauti na udaktari ambao umeshindwa kuichambua chanjo ya COVID-19 ieleweke

Mkuu tatizo lililopo taaluma ya afya imeingiliwa zaidi na watu au makampuni yanayolenga maslahi binafsi kuliko ustawi au maendeleo ya taaluma yenyewe. You can't imagine makampuni ya madawa yanakimbizana kutengeneza chanjo yapate hati miliki ili yafanye biashara kutengeneza super profit bila kujali maadili na sheria zinazoongoza maswala ya kitafiti. Nafikiri kila mmoja aliona makampuni kutoka nchi tajiri duniani kama marekani, ujeruman, urusi, china, uingereza walivyokuwa yanahaha kuwahi kuja na suluhisho la chanjo, kwa hiyo hapo tayari utanusa ubeberu wa siasa za kimataifa. Huu ubinafsi umefikia hatua tafiti zinafanyika kwa siri bila takwimu za kitafiti kuwekwa wazi kwenye makongamano ya kimataifa na hata kwenye majarida ya kimataifa kama njia ya kuchangia maarifa na watafiti wengine duniani. Ukifuatilia ni kwa kiasi gani data za kitafiti kuhusu teknolojia ya mRNA ya kuzalisha chanjo zimekuwa shared kwa watafiti wengine duniani ili watoe maoni yao au na wenyewe waweze kufanya verification ni kituko, au teknolojia ya nano-particles/nano-molecules kufanya targeted delivery ya chanjo na madawa ndani ya mwili wa binadamu bado utakuta data kama hizo zinafichwa na makampuni kwa kisingizio cha hati miliki....
 
Mkuu tatizo lililopo taaluma ya afya imeingiliwa zaidi na watu au makampuni yanayolenga maslahi binafsi kuliko ustawi au maendeleo ya taaluma yenyewe. You can't imagine makampuni ya madawa yanakimbizana kutengeneza chanjo yapate hati miliki ili yafanye biashara kutengeneza super profit bila kujali maadili na sheria zinazoongoza maswala ya kitafiti. Nafikiri kila mmoja aliona makampuni kutoka nchi tajiri duniani kama marekani, ujeruman, urusi, china, uingereza walivyokuwa yanahaha kuwahi kuja na suluhisho la chanjo, kwa hiyo hapo tayari utanusa ubeberu wa siasa za kimataifa. Huu ubinafsi umefikia hatua tafiti zinafanyika kwa siri bila takwimu za kitafiti kuwekwa wazi kwenye makongamano ya kimataifa na hata kwenye majarida ya kimataifa kama njia ya kuchangia maarifa na watafiti wengine duniani. Ukifuatilia ni kwa kiasi gani data za kitafiti kuhusu teknolojia ya mRNA ya kuzalisha chanjo zimekuwa shared kwa watafiti wengine duniani ili watoe maoni yao au na wenyewe waweze kufanya verification ni kituko, au teknolojia ya nano-particles/nano-molecules kufanya targeted delivery ya chanjo na madawa ndani ya mwili wa binadamu bado utakuta data kama hizo zinafichwa na makampuni kwa kisingizio cha hati miliki....
Ooohh
 
Wahandisi wanafanya kazi kwenye vitu MFU madaktari wanafanya kazi kwenye vitu HAI.
Tofauti na fani za wahandisi ambao majengo na mitambo yao huwa wanatuonesha maelezo yaliyobaya/michoro yenye uhalisia wa ndani (interior design)

Ambazo hujibu kiu ya watumiaji kiuhalisia na kitaalam!

Janga la corona limekuja kuweka ombwe katika sekta ya afya kwa mabingwa wetu kuonekana bado wako nyuma kuliko tulivyoaminishwa!

Mwanzo nilipokuwa nikisikia kuwa watafiti bingwa wa afya wapo maabara kutafti mambo mbalimbali.

Niliamini kuwa kwa ukubwa wa teknolojia kwenye fani ya udakitali kamwe haitakuja kuwa na mkanganyiko wa majibu katika jambo moja la afya.

Ilifika mahali nilidhania kwamba mabingwa wetu wa afya wamemaliza kila kitu kuhusu mwili wa binadam nikiamini kilichowashinda ni kutengeneza roho tu!

Ujio wa corona umekuja kuprove wrong kuhusu hili!
Nimegundua kwamba fani hii ya udakitali na chanjo duniani huenda iko nyuma (out of date) kwa zaidi ya miaka 20 nyuma!

Nasema hivi kwasababu kwenye suala la corona wamegeuka wapiga ramli, wamekuwa kama hawakuwemo maabara kama tulivyoaminishwa!

Kwenye ugonjwa huu wa corona umenifanya niwaze huenda hawa wapiganaji wa afya walituaminisha wapo mazoezini kumbe walivaa kombati za jeshi halafu wakabweteka kufuta buibui na usafi wa maabara badala ya kujikita kufanya utafiti!

Pia kuna wakati naamini huenda mifumo rasmi ya ajira imekumbatia watu wasiyo na uwezo kwa kuangalia vyeti vya taaluma za kubumba pekee, huku ikiwatupa inje ya mfumo watu wenye uwezo mkubwa ambao wamechukuliwa na waasi kiasi cha kutengeneza kirusi kimkakati wa kibiashara (Kujiajiri au kulipwa na genge la waharifu)!

Nasema hivyo kwasababu mabingwa wa afya wameonekana kufeli pakubwa kwa kujificha kwenye PHASE za corona kuzipa namba na majina tofauti,
hawako bayana katika maelezo yao! Wamejificha kwenye kivuli cha series za corona!

Nawafananisha na mtu ambaye anaelala kwenye nyumba yenye makorokoro mengi, akaingiliwa na nyoka! Kwasababu hana dhana na mafunzo ya kumuondoa basi kila siku atutangazie kuwa kaona nyoka mwingine wakati ni yuleyule mmoja anaetembea chumbani na kuongezeka ukubwa!
 
Waambie wahandisi wakatengeneze chanjo.
Uliwahi kuwaza kupaa hewani na ndege? Ulishawahi waza magorofa marefu yanavyogharimu uhai? Wahandis kila mahali wamekuja na solution ya uhakika,
Sasa why madakitali wanakinzana kwenye chanjo kama wako makini?
 
mleta mada
officialmisifa-20210801-0001.jpg
 
"Ilifika mahali nilidhania kwamba mabingwa wetu wa afya wamemaliza kila kitu kuhusu mwili wa binadam nikiamini kilichowashinda ni kutengeneza roho tu!"

HAYA MANENO MACHACHE TU YANAONYESHA KIWANGO CHA UJINGA ULICHO NACHO NA UDUNI WA FIKRA ZAKO NI WA PH.D.
Tofauti na fani za wahandisi ambao majengo na mitambo yao huwa wanatuonesha maelezo yaliyobaya/michoro yenye uhalisia wa ndani (interior design) ambazo hujibu kiu ya watumiaji kiuhalisia na kitaalam!

Janga la corona limekuja kuweka ombwe katika sekta ya afya kwa mabingwa wetu kuonekana bado wako nyuma kuliko tulivyoaminishwa!

Mwanzo nilipokuwa nikisikia kuwa watafiti bingwa wa afya wapo maabara kutafiti mambo mbalimbali.

Niliamini kuwa kwa ukubwa wa teknolojia kwenye fani ya udakitali kamwe haitakuja kuwa na mkanganyiko wa majibu katika jambo moja la afya.

Ilifika mahali nilidhania kwamba mabingwa wetu wa afya wamemaliza kila kitu kuhusu mwili wa binadam nikiamini kilichowashinda ni kutengeneza roho tu!

Ujio wa corona umekuja kuprove wrong kuhusu hili.

Nimegundua kwamba fani hii ya udakitali na chanjo duniani huenda iko nyuma (out of date) kwa zaidi ya miaka 20 nyuma!

Nasema hivi kwasababu kwenye suala la corona wamegeuka wapiga ramli, wamekuwa kama hawakuwemo maabara kama tulivyoaminishwa.

Kwenye ugonjwa huu wa corona umenifanya niwaze huenda hawa wapiganaji wa afya walituaminisha wapo mazoezini kumbe walivaa kombati za jeshi halafu wakabweteka kufuta buibui na usafi wa maabara badala ya kujikita kufanya utafiti.

Pia kuna wakati naamini huenda mifumo rasmi ya ajira imekumbatia watu wasiyo na uwezo kwa kuangalia vyeti vya taaluma za kubumba pekee, huku ikiwatupa inje ya mfumo watu wenye uwezo mkubwa ambao wamechukuliwa na waasi kiasi cha kutengeneza kirusi kimkakati wa kibiashara (kujiajiri au kulipwa na genge la waharifu)

Nasema hivyo kwasababu mabingwa wa afya wameonekana kufeli pakubwa kwa kujificha kwenye PHASE za corona kuzipa namba na majina tofauti

Hawako bayana katika maelezo yao! Wamejificha kwenye kivuli cha series za corona!

Nawafananisha na mtu ambaye anaelala kwenye nyumba yenye makorokoro mengi, akaingiliwa na nyoka! Kwasababu hana dhana na mafunzo ya kumuondoa basi kila siku atutangazie kuwa kaona nyoka mwingine wakati ni yuleyule mmoja anaetembea chumbani na kuongezeka ukubwa!
 
Ukiumwa uwe unaenda kwa wapiga ramli wenzako wakina Gwajima wakutibu
Me mbona nimegundua mda kwamba udaktari ni creaming tu, hamna cha ziada, na zaidi ya hayo gambling imetawala katika udaktari na utabibu
 
Crap BS
Mkuu tatizo lililopo taaluma ya afya imeingiliwa zaidi na watu au makampuni yanayolenga maslahi binafsi kuliko ustawi au maendeleo ya taaluma yenyewe. You can't imagine makampuni ya madawa yanakimbizana kutengeneza chanjo yapate hati miliki ili yafanye biashara kutengeneza super profit bila kujali maadili na sheria zinazoongoza maswala ya kitafiti. Nafikiri kila mmoja aliona makampuni kutoka nchi tajiri duniani kama marekani, ujeruman, urusi, china, uingereza walivyokuwa yanahaha kuwahi kuja na suluhisho la chanjo, kwa hiyo hapo tayari utanusa ubeberu wa siasa za kimataifa. Huu ubinafsi umefikia hatua tafiti zinafanyika kwa siri bila takwimu za kitafiti kuwekwa wazi kwenye makongamano ya kimataifa na hata kwenye majarida ya kimataifa kama njia ya kuchangia maarifa na watafiti wengine duniani. Ukifuatilia ni kwa kiasi gani data za kitafiti kuhusu teknolojia ya mRNA ya kuzalisha chanjo zimekuwa shared kwa watafiti wengine duniani ili watoe maoni yao au na wenyewe waweze kufanya verification ni kituko, au teknolojia ya nano-particles/nano-molecules kufanya targeted delivery ya chanjo na madawa ndani ya mwili wa binadamu bado utakuta data kama hizo zinafichwa na makampuni kwa kisingizio cha hati miliki....
 
Nieleweshe we msomi mwenye PHD
"Ilifika mahali nilidhania kwamba mabingwa wetu wa afya wamemaliza kila kitu kuhusu mwili wa binadam nikiamini kilichowashinda ni kutengeneza roho tu!"

HAYA MANENO MACHACHE TU YANAONYESHA KIWANGO CHA UJINGA ULICHO NACHO NA UDUNI WA FIKRA ZAKO NI WA PH.D.
 
Tofauti na fani za wahandisi ambao majengo na mitambo yao huwa wanatuonesha maelezo yaliyobaya/michoro yenye uhalisia wa ndani (interior design) ambazo hujibu kiu ya watumiaji kiuhalisia na kitaalam!

Janga la corona limekuja kuweka ombwe katika sekta ya afya kwa mabingwa wetu kuonekana bado wako nyuma kuliko tulivyoaminishwa!

Mwanzo nilipokuwa nikisikia kuwa watafiti bingwa wa afya wapo maabara kutafiti mambo mbalimbali.

Niliamini kuwa kwa ukubwa wa teknolojia kwenye fani ya udakitali kamwe haitakuja kuwa na mkanganyiko wa majibu katika jambo moja la afya.

Ilifika mahali nilidhania kwamba mabingwa wetu wa afya wamemaliza kila kitu kuhusu mwili wa binadam nikiamini kilichowashinda ni kutengeneza roho tu!

Ujio wa corona umekuja kuprove wrong kuhusu hili.

Nimegundua kwamba fani hii ya udakitali na chanjo duniani huenda iko nyuma (out of date) kwa zaidi ya miaka 20 nyuma!

Nasema hivi kwasababu kwenye suala la corona wamegeuka wapiga ramli, wamekuwa kama hawakuwemo maabara kama tulivyoaminishwa.

Kwenye ugonjwa huu wa corona umenifanya niwaze huenda hawa wapiganaji wa afya walituaminisha wapo mazoezini kumbe walivaa kombati za jeshi halafu wakabweteka kufuta buibui na usafi wa maabara badala ya kujikita kufanya utafiti.

Pia kuna wakati naamini huenda mifumo rasmi ya ajira imekumbatia watu wasiyo na uwezo kwa kuangalia vyeti vya taaluma za kubumba pekee, huku ikiwatupa inje ya mfumo watu wenye uwezo mkubwa ambao wamechukuliwa na waasi kiasi cha kutengeneza kirusi kimkakati wa kibiashara (kujiajiri au kulipwa na genge la waharifu)

Nasema hivyo kwasababu mabingwa wa afya wameonekana kufeli pakubwa kwa kujificha kwenye PHASE za corona kuzipa namba na majina tofauti

Hawako bayana katika maelezo yao! Wamejificha kwenye kivuli cha series za corona!

Nawafananisha na mtu ambaye anaelala kwenye nyumba yenye makorokoro mengi, akaingiliwa na nyoka! Kwasababu hana dhana na mafunzo ya kumuondoa basi kila siku atutangazie kuwa kaona nyoka mwingine wakati ni yuleyule mmoja anaetembea chumbani na kuongezeka ukubwa!
Umetambaa sana.....

Ila...

Kwani hakuna muelewa na mfuatiliaji makini wa mambo ambaye hajawaelewa madaktari juu ya uchambuzi wa CHANJO HIZI.....

Labda tu hamtaki kuelewa.....

Chanjo hazijaanza KUTOLEWA Jana.....

Madawa hayajaanza kutolewa jana....

Siku zote hizo ulikuwa unauliza ufafanuzi juu ya kila huduma inayoihusu sekta ya afya?!!!

Madaktari wako wengi....WENGINE hutupasua (surgeons) ,WENGINE hututibu mifupa na kutuwekea mavyuma(orthopedic surgeon) ,WENGINE hutupasua mishipa ya fahamu na ubongo( Neurosurgeons)....yaani wote hawa wameshindwa KUKIDHI HAJA YA "WALAJI"?!!

Mmmh 😲😲🤣🤣

#TujitokezeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#NchiKwanza
#SiempreJMT
#KaziInaendelea
 
Tofauti na fani za wahandisi ambao majengo na mitambo yao huwa wanatuonesha maelezo yaliyobaya/michoro yenye uhalisia wa ndani (interior design) ambazo hujibu kiu ya watumiaji kiuhalisia na kitaalam!

Janga la corona limekuja kuweka ombwe katika sekta ya afya kwa mabingwa wetu kuonekana bado wako nyuma kuliko tulivyoaminishwa!

Mwanzo nilipokuwa nikisikia kuwa watafiti bingwa wa afya wapo maabara kutafiti mambo mbalimbali.

Niliamini kuwa kwa ukubwa wa teknolojia kwenye fani ya udakitali kamwe haitakuja kuwa na mkanganyiko wa majibu katika jambo moja la afya.

Ilifika mahali nilidhania kwamba mabingwa wetu wa afya wamemaliza kila kitu kuhusu mwili wa binadam nikiamini kilichowashinda ni kutengeneza roho tu!

Ujio wa corona umekuja kuprove wrong kuhusu hili.

Nimegundua kwamba fani hii ya udakitali na chanjo duniani huenda iko nyuma (out of date) kwa zaidi ya miaka 20 nyuma!

Nasema hivi kwasababu kwenye suala la corona wamegeuka wapiga ramli, wamekuwa kama hawakuwemo maabara kama tulivyoaminishwa.

Kwenye ugonjwa huu wa corona umenifanya niwaze huenda hawa wapiganaji wa afya walituaminisha wapo mazoezini kumbe walivaa kombati za jeshi halafu wakabweteka kufuta buibui na usafi wa maabara badala ya kujikita kufanya utafiti.

Pia kuna wakati naamini huenda mifumo rasmi ya ajira imekumbatia watu wasiyo na uwezo kwa kuangalia vyeti vya taaluma za kubumba pekee, huku ikiwatupa inje ya mfumo watu wenye uwezo mkubwa ambao wamechukuliwa na waasi kiasi cha kutengeneza kirusi kimkakati wa kibiashara (kujiajiri au kulipwa na genge la waharifu)

Nasema hivyo kwasababu mabingwa wa afya wameonekana kufeli pakubwa kwa kujificha kwenye PHASE za corona kuzipa namba na majina tofauti

Hawako bayana katika maelezo yao! Wamejificha kwenye kivuli cha series za corona!

Nawafananisha na mtu ambaye anaelala kwenye nyumba yenye makorokoro mengi, akaingiliwa na nyoka! Kwasababu hana dhana na mafunzo ya kumuondoa basi kila siku atutangazie kuwa kaona nyoka mwingine wakati ni yuleyule mmoja anaetembea chumbani na kuongezeka ukubwa!
Bro wewe kutoelewa kitu haipunguzi thamani au ubora wa kile ulichokielewa. Kwani COVID-19 vaccines wamezigundua engineers? Au unazungumzia engineers wa Tarura waliotengeneza daraja la milioni 31 kule Mahenge? Au wawazungumzia wahandisu hawa Daraja la Ileje kubomoka: Uhandisi Tanzania umeshuka Viwango?
 
Adam na eve ndio wanadamu wa kwanza.
Yule mtoto wao aliyemuua kaka yake alipata wapi mke wake wa kumzalia?
 
Wahandisi wanafanya kazi kwenye vitu MFU madaktari wanafanya kazi kwenye vitu HAI.
Hivi madaktari wanapofanya test mfano kwenye virus huwa wanaangalia behaviour ya mtu ama wanaangalia behaviour ya virus mwenyewe? Si unaweza kufanyia hata panya? Kwani hamfanyi simulation? Acheni kujitetea!
 
Kwa nini wafanyie kwa panya na sio kwa binadamu?
Hivi madaktari wanapofanya test mfano kwenye virus huwa wanaangalia behaviour ya mtu ama wanaangalia behaviour ya virus mwenyewe? Si unaweza kufanyia hata panya? Kwani hamfanyi simulation? Acheni kujitetea!
 
Sasa why madakitali wanakinzana kwenye chanjo kama wako makini
Mkuu mimi andhani mambo ya kidaktari yana shida hasa katika utaratibu wake wa kuja na majawabu.

Leo usione hii kada imeemndelea ukajua kwamba jambo lilikuwa la mwaka hapana.

Imepita miaka na miaka watu wanafanya tafiti wengine wanakuja wanaipinga wengine wanakuja wanasahihisha mpaka unapata kitu uhakika.
 
Mkuu mimi andhani mambo ya kidaktari yana shida hasa katika utaratibu wake wa kuja na majawabu.

Leo usione hii kada imeemndelea ukajua kwamba jambo lilikuwa la mwaka hapana.

Imepita miaka na miaka watu wanafanya tafiti wengine wanakuja wanaipinga wengine wanakuja wanasahihisha mpaka unapata kitu uhakika.
Haya
 
Back
Top Bottom