ni vema haki kulitambua jema mwenzako atendapo,angalizo tusivae sura za kutaka kumwangusha mtu,hyo ni siasa ambayo haina mtazamo na ni watu wasio na uelekeo,siku hz watanzania wanajuaaaa! Cyo wa kudanganywa na mtu,kama ipo ,ipo tuu,na kama haipo haipo tuu hata mtu ufanyaje,ujue cku haturogeki...