mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Kayataka mwenyewe huyooo.
Na wavimbe wapasuke
Kayataka mwenyewe huyooo.
Marhabaaaaa, aya toa kidole pajini,
Mi nanukia ile harufu ya viboko vibichi
Walimu walimu walimu,kwanini umewachagua wao kama mfano?
WANAUME TUNATIA AIBU.
Unaenda kutongoza mwanamke ambae hana kazi lakini ana Galaxy s6 na iphone6 plus. Wigi la laki 3. High hills 150,000/ kucha anatengezeza kwa 50,000/. Gauni 200,000/ amepanga nyumba analipa kodi laki 4.
Ana ka spacio anaendesha. Haonekani asubuhi akienda kazini ye jioni tu utamkuta Bar na hainken.Ulivyokuwa ----- unakuja kutulalamikia "ooh yule msichna hana maana eti ananiomba mil 1. Aongezee anunue Flat mpya"
KAKA KWANI WANAOOA WAALIMU NI WAJINGA?
Viboko vya miti ya mikwaju?
Mianzi teh.... Unazijua hizo stiki
Chaki ina harufu gani?
Siipendi mianzi. Inauma sana.
na kaelimu kangu haka, sijawahi kunusa harufu ya chaki, ikoje?
Mwalimu ni mwanamke pekee ambaye ndio mfano wa kuigwa. Hawana gharama kubwa, wanajitambua japo sio wote,
Ha ha ha afu hauvunjiki, ila bora muanzi kuna mti nimeusahau jina fimbo yake ukichapwa hadi unahisi kizunguzungu inauma hatari nlichapwa darasa la tano hadi leo sijasahau
kumbe walimu ndio wenye soko? Dah itanibidi nirudi kwa yule mwalimu wangu wa tabata kimanga anayesubiri ajira
Ha ha ha afu hauvunjiki, ila bora muanzi kuna mti nimeusahau jina fimbo yake ukichapwa hadi unahisi kizunguzungu inauma hatari nlichapwa darasa la tano hadi leo sijasahau
Siipendi mianzi. Inauma sana.
Hhaa umenikumbusha mbalii enzi nikiwa primary nilichapwa sana na hiyo mianzi sina ham daa