Wanaume tunatia aibu

Wanaume tunatia aibu

WANAUME TUNATIA AIBU.

Unaenda kutongoza mwanamke ambae hana kazi lakini ana Galaxy s6 na iphone6 plus. Wigi la laki 3. High hills 150,000/ kucha anatengezeza kwa 50,000/. Gauni 200,000/ amepanga nyumba analipa kodi laki 4.

Ana ka spacio anaendesha. Haonekani asubuhi akienda kazini ye jioni tu utamkuta Bar na hainken.Ulivyokuwa ----- unakuja kutulalamikia "ooh yule msichna hana maana eti ananiomba mil 1. Aongezee anunue Flat mpya"


KAKA KWANI WANAOOA WAALIMU NI WAJINGA?

Mkuu Bujibuji mbona unaogopa kuhonga wewe!
 
Last edited by a moderator:
Mwalimu ni mwanamke pekee ambaye ndio mfano wa kuigwa. Hawana gharama kubwa, wanajitambua japo sio wote,

Hamna asiyependa kuwa na vitu vizuri, walimu wamejikuta tu hawana jinsi wawe wapole tu.
Mi nilipokuwa mdogo nimeshuhudia walimu wa kike waliiolewa wakitoka shule wana yao ya kuchepuka kama kawaida.
 
Ha ha ha afu hauvunjiki, ila bora muanzi kuna mti nimeusahau jina fimbo yake ukichapwa hadi unahisi kizunguzungu inauma hatari nlichapwa darasa la tano hadi leo sijasahau

Wewe unachapa kwa kutumia fimbo gani?
 
Wakati mwingine walimu ni watu muafaka lakini wakati mwingine si watu muafaka. Tatizo kubwa la walimu wengi wao wana "VISION NDOGO".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom