Me nadhani tatizo kubwa lililopo ni wewe kutopata muda wa kutosha kuwa na mumeo na yawezekana ni m2 pilika nyingi so akitoka asubihi kurudi kwake saa tano ucku xo Jaribu kumshawishi muwe mnatumia cku za wikend kuwa pamoja na kutoka kwenda sehemu tofauti na hapo nyumbani hii itakusaidia wewe kuwa...
Naomba mniambie dalili za UTI na tiba yake kwa ujumla kwani nahisi kama nna huo ugonjwa,
Nahisi maumivu kama nna vidonda hivi ndanii ya uume wangu, Maumivu hayo nayapata kwenye mshipa mkubwa uliopo nyuma ya uume wangu na pia nimekuwa nikipata haja ndogo mara kwa mara na nikienda TOILET simalizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.