Yaani nawaza hao watu wakishinda tena yaani tutakuwa utumwani tupambane tuwaondoe na mfumo wao wa unyonyaji tatzo sugu la ajira kwa vijana, umeme ndo kabisa utafikiri tunaishi jangwani wakati tuna vyanzo vingi tuna gase,mito,maziwa,bahari,mabwawa lakini ccm wanajitoa ufahamu,suala wajawazito...