Nimezinduka naenda UKAWA

Nimezinduka naenda UKAWA

Mimi natoka ukawa naenda CCM A kwa bwana Pombe ambaye ameshuka chini ghorofa saba bila kutumia lift, badala ya CCM B ambaye ukimwambiya anyooshe mkono wake juu kwa dakika moja hawezi kabisa ambaye anatembea kwa kutetemeka kwa sababu ya kiarusi upande wa kulia ambacho kimepiga upande wa kulia wa mwili wake.
 
Mkuu nipe basi zile ripoti....

Bila shaka uliona mapokezi ya Mwanza. Nilihudhuria msiba kijijini haswaa jimbo la Nyang'wale Geita nikakumbana na sticker za Lowassa zimevaliwa shingoni mazishini nikabaki kama avatar yangu😕 Vijana UKAWA wazee nusu kwa nusu CCM na UKAWA.
 
Bila shaka uliona mapokezi ya Mwanza. Nilihudhuria msiba kijijini haswaa jimbo la Nyang'wale Geita nikakumbana na sticker za Lowassa zimevaliwa shingoni mazishini nikabaki kama avatar yangu😕 Vijana UKAWA wazee nusu kwa nusu CCM na UKAWA.

Asante sana. ...
Vipi jimbo la Bunda hali ikoje? Tyson anapigika au?
 
Asante sana. ...
Vipi jimbo la Bunda hali ikoje? Tyson anapigika au?

Huko sijabase sana,Kahama kwa Lembeli mpinzani wake Kishimba CCM ameleta pikipiki anauza laki tano tu nifah:sly::sly:😱 changamkia kabla dili halijaisha mama.
 
Asante sana. ...
Vipi jimbo la Bunda hali ikoje? Tyson anapigika au?

Namesoma magazetini kuwa robo tatu ya viongozi qa chadema wamepishana na esther bulaya mlangoni.
Ngoja tuone itakuwaje.
 
Huko sijabase sana,Kahama kwa Lembeli mpinzani wake Kishimba CCM ameleta pikipiki anauza laki tano tu nifah:sly::sly:😱 changamkia kabla dili halijaisha mama.

Yalaaaaa! Siasa hizi zimekuwa tamu sana.
Pikipiki za aina gani mkuu?
 
Namesoma magazetini kuwa robo tatu ya viongozi qa chadema wamepishana na esther bulaya mlangoni.
Ngoja tuone itakuwaje.

Mkuu katika enzi hizi bado unasoma na kuyaamini magazeti?
Mie tokea niijue JF sina haja na magazeti tena zaidi ya kuuliza marafiki zangu walioko katika eneo husika.
 
Namesoma magazetini kuwa robo tatu ya viongozi qa chadema wamepishana na esther bulaya mlangoni.
Ngoja tuone itakuwaje.
Umesoma magazetini?? kweli nyakati hizi makazeti kwako ni chanzo stahiki cha habari??
 
Najuta kuwa na kadi moja ya chama😛

Hahahaaaaa, hata mimi ujue nina jamaa yangu mmoja ni mnazi wa CCM na mimi Chadema.
Sasa mwaka 2012 aliwahi kunishauri kuwa nikitaka yangu yaniendee basi niwe na kadi ya CCM na alitaka kuniletea, lakini kutokana na chuki yangu dhidi ya CCM nilimkatalia katakata.
Ila kiukweli yale maneno yake yana ukweli kwa kiasi fulani. Ningekua nimeshapiga vitu vya maana huku nikijua kura yangu ni kwa Chadema.
 
Umesoma magazetini?? kweli nyakati hizi makazeti kwako ni chanzo stahiki cha habari??

Angalu zile najua ni gazeti gani, jina la mwandishi na ofisi yake imewekwa wazi.
Sasa huku kwenye mitandao ndo unataka nikuamini chanzo kina jina la bandia kama barafu ya moto au Jozi 1.
Acha hizi mambo zitakula kwako.
Ukileta shaka kuwa magazeti hayaaminiki utafanya tusiziamini habari za mafuriko tunazozisoma kwenye magazeti kwa hamasa.
 
Back
Top Bottom