Tukikosea 2015 tutajuta milele! Nchi itazama

Tukikosea 2015 tutajuta milele! Nchi itazama

Mbona mnajisahaurisha? Nikweli kwamba miaka 50 hakuna kilichofanyika, mmesahau enzi za bidhaa hizi mfano viberiti, sabuni, nguo za kiume na za KIke ziliuzwa na watanzania kwa njia ya magendo?
Shule hazikutosha, barabara hazikuwepo kiasi hiki leo mmependeza hadi mtandao hii nayo hazikuwepo watu mmesahau? Au wote ni watoto wa jana lkn pia hamna wazee mkawauliza nchi ilikuwaje enzi hizo?
ccm ndo mpango Mzima wa haya maendeleo tuache mihemko isiyo na maana tupige Kazi.
 
Mimi siyo ndioooo! Nataka kuungana nawe kwa point tusisahau kuomba hawa ccm mungu awape moyo Wa uvumilivu watuachie nchi salama wanavyoonekana baada ya kuchokwa hivi watataka wapigne wavuruge amani tufanye ibada tuiombee nchi yetu mfano MDOGO kwa jinsi walivyokumbatia rasilimali pesa madini na utawala Wa kiukoo in sawa na kuku aliyeweka vifaranga wake kifuani uje utoe kifanga pale akiwa amelalia kuku hakuachi lazima akulalue tuwape somo la wao kubadili mwelekeo wajiandae kuwa wapinzani kisaikolojia walainike amani ipatikane WAMEZOE KUTUBULUZA NA SASA SISI TUMESEMA BASI TUJUE MSUGUANO NI MKALI ILA TUSIWATAZAME USONI KAMA KUUA PAKA wana ukawa tushikamane
 
Kwangu na familia yangu Nasema hv sina muda wa kusikiliza Sera vyoyote.Sera Miaka 53 mwanangu wanakalia vipande vya tofali darasani, hakuna dawa hospitalini, sasa Sera zinisaidie nn huku nalipa kodi kila nachonunua dukani.Mabadiliko kwanza mambo mengine mbele ya safari.
 
Uloi nga mache 68?hacha utani,kama uko kwenye familia ya vigogo sawa,tuulize sisi tunaoangaika ,mimi mama kanisomesha kwa kuuza kuni mzigo Tsh 200/-wenzangu wanakula chapati mm napata uji mtupu,,,,,,tunawapa kura ukawa kwakuwa Wameungana watu waliokuwa na nia ya kuwa marais ndani ya vyama vyao na kututetea sasa itakuwa zaidi maana wananena mamoja ,alafu wote ni vichwa,hv unaweza kumfananisha Mbowe na JK?katika uongozi?
 
Mimi nasubiri October tu nikate kiu yangu kwa kuchagua kiongozi wangu makini Lowassa.
Baada ya hapo nitakuwa na amani huku nikiwaombea CCM Mungu awape moyo wa ujasiri waweze kutuachia nchi yetu salama.

Umeona
 
Hakuna jipya litakaloletwa na UKAWA. Miaka mitano watakuwa bize kuunda Serikali ya MAJIMBO na kugawana Vyeo. Tutajuta kuifahamu UKAWA. Waliochangia Kampeni nao watakuwa bize kujilipa pesa zao! ACHENI MCHEZO VIJANA.Kuichukia CCM ni sawa na.kumkataa Baba yako Mzazi kwa kuwa mlevi na kisha.kumchagua jirani awe baba yako.

acha upuuzi wewe una umri gani adi uandike uliyoandika? kama ni hvyo ungekuta dunia nzima bado wanatawaliwa na vyama vyao vya mwanzo... mjinga kabisa wewe NAICHUKIA CCM na wala October mimi na jamii yangu hatutafanya makosa
 
Mbona mnajisahaurisha? Nikweli kwamba miaka 50 hakuna kilichofanyika, mmesahau enzi za bidhaa hizi mfano viberiti, sabuni, nguo za kiume na za KIke ziliuzwa na watanzania kwa njia ya magendo?
Shule hazikutosha, barabara hazikuwepo kiasi hiki leo mmependeza hadi mtandao hii nayo hazikuwepo watu mmesahau? Au wote ni watoto wa jana lkn pia hamna wazee mkawauliza nchi ilikuwaje enzi hizo?
ccm ndo mpango Mzima wa haya maendeleo tuache mihemko isiyo na maana tupige Kazi.
Kila kitu ndiooo, hata ujinga. Tumeumia vya kutosha. Tumejaribu vya kutosha, CCM ndiyo chanzo cha umaskini wetu.
 
Mbona mnajisahaurisha? Nikweli kwamba miaka 50 hakuna kilichofanyika, mmesahau enzi za bidhaa hizi mfano viberiti, sabuni, nguo za kiume na za KIke ziliuzwa na watanzania kwa njia ya magendo?
Shule hazikutosha, barabara hazikuwepo kiasi hiki leo mmependeza hadi mtandao hii nayo hazikuwepo watu mmesahau? Au wote ni watoto wa jana lkn pia hamna wazee mkawauliza nchi ilikuwaje enzi hizo?
ccm ndo mpango Mzima wa haya maendeleo tuache mihemko isiyo na maana tupige Kazi.

CCM ndio basi tena wewe hutaki kajinyonge zamu zenu zimepita sasa ni zamu za wengine nyambaafff
 
Ndio hivyo Bintikisura...mabinti tuamke sasa n kuukataa utawala dhalimu wa CCM.

Yaani nawaza hao watu wakishinda tena yaani tutakuwa utumwani tupambane tuwaondoe na mfumo wao wa unyonyaji tatzo sugu la ajira kwa vijana, umeme ndo kabisa utafikiri tunaishi jangwani wakati tuna vyanzo vingi tuna gase,mito,maziwa,bahari,mabwawa lakini ccm wanajitoa ufahamu,suala wajawazito kujifungua hospital hakuna vitendea kazi hakuna,walimu sasa wana madeni yao serikali imejifanya kipofu,hii serikali ya familia ndo mwisho wake
 
Last edited by a moderator:
Tunahitaji mabadiliko tena sana, lakini si mabadiliko kupitia kwa Lowasa. Huyu hana uwezo wa kufanya mabadiliko yoyote amechoka kimwili na ki akili. Simply mwaka huu Mbowe na vibaraka wake ametucheleweshea mabadiliko tuliyoyatarajia. Hili walijue kwa mapana kabisa.
 
Mimi na nyumba yangu tutampigia kura Mh. Edward Lowasa pamoja na wagombea udiwani na ubunge kutoka vyama vya Ukawa. Sina cha kuficha wala kuhofu ni haki yangu kudai mabadiliko.
 
Uloi nga mâché68;13708321 said:
Hakuna jipya litakaloletwa na UKAWA. Miaka mitano watakuwa bize kuunda Serikali ya MAJIMBO na kugawana Vyeo. Tutajuta kuifahamu UKAWA. Waliochangia Kampeni nao watakuwa bize kujilipa pesa zao! ACHENI MCHEZO VIJANA.Kuichukia CCM ni sawa na.kumkataa Baba yako Mzazi kwa kuwa mlevi na kisha.kumchagua jirani awe baba yako.

Kamasikuelewi unamaanisha kumkataa baba yako nakumkubali jilani inamaa UKAWA wanatoka Kenya au Somalia Burundi n.k😕
 
Back
Top Bottom