Kumbe mama wa watoto watatu hafai kukubaliana naye, hivi mtu ambaye huoni haja ya kukubaliana unawezaje kulala naye, hivi kipi rahisi, unahisi wewe unayo thamani sana kuliko huyo dada? Kwani mkeo ni mama wa watoto wangapi?
#Usimdharau mtu kwa past yake, pamoja na kuwa mama wa watoto hao wote...
Tatizo lipo kwako, unaachaje mkeo na familia unamfata? Au yeye ndo aliyeku approach
#Siku wanaume mkijitambua(siyo wote wa sampuli yako) dunia itakuwa salama sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunenepa ni kuzidiwa mafuta,(fat) ukikonda means mafuta huchakatwa na kutumiwa na mwili katika kazi mbalimbali.
Ningekuwa na muda ningedadavua kitaalam zaid ila kwa kifupi elewa hivo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.