Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,381
Hata mimi nikiwa sonko nikaja kufanya maamuzi hayo mutanikandia nyie











Kweli muhindi! Alaf eb njoo kwanza tuongee issue yetuNa saiv amechoka kweli kweli
Dah! Inaonekana dada yetu anampa mzee baba vitu adimu...
tajiri hata akitoa pumba watu wanaitikiaHaya maneno wakiyasema matajiri yanamake sense sana.
Be you.
fact
Kipindi hicho kulikuwa hakuna vumbi la Kongo kwa Sasa dawa za kubusti zipo nyingi mno.
Kipindi hicho kulikuwa hakuna vumbi la Kongo kwa Sasa dawa za kubusti zipo nyingi mno.
Kumzungumzi mtu usio mjua nalo nitatizotukubali tusikubali Jack yupo kipesa lakini suala la mapenzi (namaanisha kuridhishwa/kukunwa vyema yaweza kuwa ndoto) afya ya mzee ni dhoofu sana na hasa kipundi hiki cha Magu walimtikisa sana kiasi kwamba ameponea chup chup kuwa na stroke
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mzee kama Mengi unadhani hastahili kupendwa, Mapenzi ni zaidi ya kukunwa.tukubali tusikubali Jack yupo kipesa lakini suala la mapenzi (namaanisha kuridhishwa/kukunwa vyema yaweza kuwa ndoto) afya ya mzee ni dhoofu sana na hasa kipundi hiki cha Magu walimtikisa sana kiasi kwamba ameponea chup chup kuwa na stroke
Sent using Jamii Forums mobile app
anastahili sana, lkn utifauti wa umri utakuwa na matatizo majubwa hapo mbeleni kwa mmoja endapo kila mtu atapewa miaka yake kamili ya kushi, huyo ni mzee na mke ni kijana mbichi...tafakariMkuu mzee kama Mengi unadhani hastahili kupendwa, Mapenzi ni zaidi ya kukunwa.
AhahahahahahahHaya maneno wakiyasema matajiri yanamake sense sana.
Be you.
Nimekuelewa mkuuanastahili sana, lkn utifauti wa umri utakuwa na matatizo majubwa hapo mbeleni kwa mmoja endapo kila mtu atapewa miaka yake kamili ya kushi, huyo ni mzee na mke ni kijana mbichi...tafakari
Sent using Jamii Forums mobile app