Auntie mapenzi ujue![]()
Vp shunie wew ushawahi kutapeliwa?
Auntie mapenzi ujue![]()
Hapa ngoja nipite kwa hasira ...erick popote ulipo kenge wewe upatwe na Janga lolote lile .......zile senti zangu ulizokua unanitapeli ili uhonge nimezisamehe ila ile elfu 85 uliyoomba nikukopeshe sitakusamehe mpaka siku ya hesabu kwa mungu baba shwaini
Sent using Jamii Forums mobile app






Mkuu mchepuko haukopeshwi,unatosa live au unatoa tu,nilishakoma kukopesha mwanamke anayeongea lugha ya taifa.Milioni zangu 2 na nusu bado sijalipwa adi sasa na mchepuko kwa njia ya mkopo na.sasa miaka miwili. Ananipiga chenga...anaona kama papuchi ndo dawa
Kweli sister huyo jamaa hakuwa tapeli ,labda alipata shida au tamaa ya muda akaogopa kurudi nyuma kukueleza kilichojiri,sina uhakika maana sikuwahi kuongea nae
Duh mkuu ukatatachi litumbo lake kufeel.Mimi nilitapeliwa na mdada kuwa anamimba hili niendelee kumtumia hela ya matumizi kumbe linaweka manguo miezi nane nalea manguo nikawambia hadi wazazi dah staki kukumbuka dadeq uko uliko Monica nakuombea sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Baby niazime 10k!!Shoga weeee hiyo ilikua 2014/2015 hatari fire huyo kijana nilimpenda jamani loooool yaani sipati kusema akatumia udhaifu wangu akaniingiza king weeee ....nasemaje mwanaume yeyote sasa hivi hata akiniambia niazime mia tano simpi ng'o msiniulize hata babako"! Nasema hata yeye hapati
Sent using Jamii Forums mobile app

