inabidi tujulishane hata kwa waraka bana utanikataje elfu 40 hivi hivi bila sababu wala taarifa inauma
sana wengine hata hiyo loan board hatukupata inakuwaje hii kwa hili mpaka nipate muongozo
TATIZO
HASA NINI MWEZI HUU EBU TUJUZANE JAMANI MAANA NAM MIMI IMENIKUTA HII KITU NIMEKATWA PESA NDEFU TU PASINA TAARIFA YEYOTE KUNA NINI HAZINA AU UTUMISHI
Da haya mambo ndugu yangu omba yasikukute kabisa kurudi PAYROLL ni mziki mwingine eti kwa waliofanyiwa vetting na kurudi wataungana na mimi ushauri fuateni utaratibu katika kuondoka kazini hasa serikalini . Yataka moyo ila Utumish wanajibu barua zooote hata km ndani ya miaka miwili jibu utalipata tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.