Recent content by billy gate

  1. B

    Makato ya mshahara kwa watumishi wa umma mwezi september

    inabidi tujulishane hata kwa waraka bana utanikataje elfu 40 hivi hivi bila sababu wala taarifa inauma sana wengine hata hiyo loan board hatukupata inakuwaje hii kwa hili mpaka nipate muongozo
  2. B

    Makato ya mshahara kwa watumishi wa umma mwezi september

    JAMANI ACHENI UTANI MIMI MWENYEWE NIMEKATWA ELFU 40 KWA KWELI INAUMA SANA MWENYE UELEWA WA HILI ATUJUZE MAANA BADALA YA INCREMENT KUNA DECREMENT WHY?
  3. B

    Nimekatwa 12, 000 kwenye mshahara

    TATIZO HASA NINI MWEZI HUU EBU TUJUZANE JAMANI MAANA NAM MIMI IMENIKUTA HII KITU NIMEKATWA PESA NDEFU TU PASINA TAARIFA YEYOTE KUNA NINI HAZINA AU UTUMISHI
  4. B

    Agizo la Kurudishwa Kazini Watumishi wa Serikali

    Da haya mambo ndugu yangu omba yasikukute kabisa kurudi PAYROLL ni mziki mwingine eti kwa waliofanyiwa vetting na kurudi wataungana na mimi ushauri fuateni utaratibu katika kuondoka kazini hasa serikalini . Yataka moyo ila Utumish wanajibu barua zooote hata km ndani ya miaka miwili jibu utalipata tu
  5. B

    Vibali vya kurejea Utumishi wa Umma batch ya sita

    Kwa kasi ya Magufuli jaribu kufatilia sehemu zote tatu kwanza Utumish penyew then kwa Mwajiri WA zamani then kwa mwajiri mpya utapata majibu
  6. B

    Ajali gari mpya walizopewa police na Rais

    Du hatareeeeee kiongozi
  7. B

    Mikoa ifuatayo UKAWA watapata mafuriko ya kura, na CCM mikoa ifuatayo

    TAREHE 25/10/2015 kuanzia SAA 12 vitu ubaoni
  8. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Singida vijijini idara msingi nije Dodoma NJOMBE RUVUMA MBEYA morogoro IRINGA NI pm
  9. B

    Kwa waliofika Lubumbashi na Kinshasa

    Du hatareeeeee kiongozi
Back
Top Bottom