Recent content by bilengeh

  1. bilengeh

    Njoo tuunganishe nguvu katika sabuni

    Tutafutane my # 0653694063
  2. bilengeh

    Njoo tuunganishe nguvu katika sabuni

    Both itakuwa sawa lkn madam niko sana mkoani itafaa zaidi kumpata a partner ambae yupo kwenye production
  3. bilengeh

    Njoo tuunganishe nguvu katika sabuni

    Habari za mchana wana forum. Nisiwachoshe na maandishi mengi; mimi ni kijana ambaye nina uzoefu kidogo na miti na matumizi yk nipo dsm kwa sasa kwa mapumziko ya mwezi hapa nilikuwa nataka mjasiriamali wa kutengenza nae sabuni za kuoga zenye ubora kuizida zoazoa na pyaar fomula ipo na na uhakika...
  4. bilengeh

    Je, huu ndio ushahidi kuwa Yesu/Issa Bin Maryam alikuwa mweusi?

    Stupid as always mr vinci. Huo utofauti ni upi labda utueleze na pia yesu hakuwa myahudi mana nasaba ya mtu hufuata kwa baba sasa baba yake na yesu ni nani?
  5. bilengeh

    Mji gani huu?

    Hiyo ni gabarone au windhoak
  6. bilengeh

    Tiba ya bure kumuenzi mwalimu

    Habari za saa hizi wanajamii Ndugu yenu hapa katika harakati za kimaisha nimepata bahati ya kutembea sana kanda ya magharibi(kigoma, katavi. Njia za maji upande wa rukwa) kwa shughuli za ujasiriamali lkn katika pitapita zangu nikatokea kupenda sana dawa za asili na faida zake. Hivyo...
  7. bilengeh

    Fursa za biashara kwa kila mkoa hapa nchini

    Ndugu yenu sina mengi ya kuaandika nilikuwa na haya machache ya kusaidiwa<br />Mimi ni mjasiriamali na pia napenda kilimo sana lkn sina uzoefu wa muda mrefu<br />Ninataka kubadili makazi ya biashara zangu kitoka mkoa huu nilipo kwenda mkoa mwingine nakatika mkoa ambao naona akili yangu...
  8. bilengeh

    Fursa za biashara kwa kila mkoa hapa nchini

    Ndugu yenu sina mengi ya kuaandika nilikuwa na haya machache ya kusaidiwa Mimi ni mjasiriamali na pia napenda kilimo sana lkn sina uzoefu wa muda mrefu Ninataka kubadili makazi ya biashara zangu kitoka mkoa huu nilipo kwenda mkoa mwingine nakatika mkoa ambao naona akili yangu inapatamani ni...
  9. bilengeh

    CHADEMA waanzishe na kumiliki News Media zao

    Hhhhh sawa mkuu wamekusikia na watakuwa na kipindi cha shilawadu humohumo
  10. bilengeh

    Lookimg for an IT

    Ndugu zangu sina mengi nilikuwa naomba msaada ama kuna mtu anaweza kunisaidia jinsi ya kutuma hook sms za ****pesa Zawadi nono ipo Madhumuni c kutapeli bali nikupoza deni ni buy sometime
  11. bilengeh

    Habari kwa picha

    Ebhana hiyo kazi ciuwape jamaa zako kwani wote wanakazi???
  12. bilengeh

    Habari kwa picha

    Habari za saa hizi wapendwa Leo nataka nitoe habari bicha kama ifuatavyo Msataafu- hallow Mh raisi hujambo JPM- CJAMBO MKUU HABARI ZA MAPUMZIKO Mstaafu- ebhana bwa mdogo nimesahau ugoro wangu hapo kwenye draw ([emoji23][emoji23]) JPM- HHHH MKUU HUJAACHA MATANI YAKO MZEE Mstaafu- hapana...
  13. bilengeh

    Msaada: Bei ya viti vya wagonjwa

    Bei ni laki 3
Back
Top Bottom