CHADEMA waanzishe na kumiliki News Media zao

kutokana na mambo ya siasa yanavyokwenda nashauri chadema tuwe na gazeti tinalomiliki kama chama.
nimeona niyaseme haya mapema ili kuepusha mitafaruku huko mbele.
kwa sasa tunatumia gazeti la manachama tena mwenyekiti wa taifa sio mbaya ila tulipofikia inabidi tuwe na la chama.
kwa wenye mtazamo chanya wanaelewa sababu lakini pia natambua uwepo wasioelewa sababu na uzuri wa hili.
kazi kwetu kulitekeleza
 
Ukiwaambia chadema hilo kutekeleza ni wazito kama nini! Inawezekana wanasubiri waseme vyombo vya habari vinapendelea ccm! Cdm kwa ubunifu nje ya siasa ni sifuri. Waambie m4c na kukusanya michango yake. Hivi chama kikubwa kama cdm kinashindwa hata miliki gazeti au fm radio ,ni aibu!
 
Ukiwaambia
chadema hilo kutekeleza ni wazito kama nini! Inawezekana wanasubiri
waseme vyombo vya habari vinapendelea ccm! Cdm kwa ubunifu nje ya siasa
ni sifuri. Waambie m4c na kukusanya michango yake. Hivi chama kikubwa
kama cdm kinashindwa hata miliki gazeti au fm radio ,ni aibu!

Jambo usilolijua ni kama...., haya gazeti hilo magamba watakubali bwana Lukololo alipe usajili? Jipeni muda kiu yetu itatibiwa, ni jambo la muda,
 
kutokana na mambo ya siasa yanavyokwenda nashauri chadema tuwe na gazeti tinalomiliki kama chama.
nimeona niyaseme haya mapema ili kuepusha mitafaruku huko mbele.
kwa sasa tunatumia gazeti la manachama tena mwenyekiti wa taifa sio mbaya ila tulipofikia inabidi tuwe na la chama.
kwa wenye mtazamo chanya wanaelewa sababu lakini pia natambua uwepo wasioelewa sababu na uzuri wa hili.
kazi kwetu kulitekeleza

Haya pendekeza, gazeti hilo liwe likitoka kila siku ama kila wiki au mwezi mmoja mmoja?
 
Its a good idea,but also chadema inabidi sasa wajikite kutetea mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja mfano kukomesha kilimo cha mkono etc.
 
Wazo nzuri lakini kumbuka watoa vibali na hao wanaoipinga CHADEMA kwa nguvu zao zote kwa iyo si rahisi kwa wao kutoa kibali kwa media itakayobainika kuwa ina mlengo wa KICHADEMA CHADEMA.
 
Wazo nzuri lakini kumbuka watoa vibali na hao wanaoipinga CHADEMA kwa nguvu zao zote kwa iyo si rahisi kwa wao kutoa kibali kwa media itakayobainika kuwa ina mlengo wa KICHADEMA CHADEMA.
usitumie hisia mkuu, chadema watangaze kwa umma dhamira yao hiyo!
 
Tunashukuru sana kwa harakati za CHADEMA katika kuhakikisha UTU, HAKI na RASILIMALI za Mtanzani zinalindwa kikamilifu kwa kutumia M4C kuelimisha wananchi.

Japo imeandikwa mara nyingi humu jf lakini si vibaya kukumbusha tena na kutaka kuona kwa vitendo zaid CHADEMA kuanzisha vyombo vyake vya habari kama redio,tv na magazeti ili wananchi wengi waweze kubadilika kimtazamo.Bado kuna wananchi wengi vijijni hawajaelimika kujua wajibu wao kwa serikali na wajibu wa serikali kwa wananchi.Bado kuna watu hawaamini sera za CHADEMA na nini wanataka kwa wananchi. Si rahisi kwa CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelimisha makundi ya wananchi yaliotawanyika kila mahali ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.

Umuhimu wa vyombo vya habari hasa kwa redio na tv unafahamika sana ndo mana CCM wanatumia vyombo vyao kufanya propaganda zao wakati CHADEMA tunafanya kwenye mitandao ya kijamii ambao idadi yetu ni ndogo sana hivyo uongezekaji wa wanachama kupitia mitandao ya kijamii ni kidogo pia.

CHADEMA,TUMECHOKA NA UONGOZI WA CCM HIVYO NANYI TUMIENI UDHAIFU WAO KUPENYEZA SERA ZENU KWA KILA NJIA AMBAYO ITFIKIA WANANCHI WENGI.

MWAKA HUU AZIMIO LA CHADEMA KWENYE MKUTANO ULIOISHA HIVI KARIBUNI NI KWEND KWA WANANCHI ZAIDI SASA PAMOJA NA MPANGO HUO TUNAOMBENI VYOMBO VYA HABARI PIA VIPEWWE KIPAUMBELE.
 
Kwakweli tumepiga sana kelele lakini inaishia kuwa unanswered cries,tunaomba mtwambie hata gazeti tumeshindwa kweli?
 
CHADEMA ninaomba muanzishe online TV, maana sasa habari zenu zizakoelekea zitakua hadimu kupatikana na mkumbuke information is power
 
Back
Top Bottom