SHIMBA YA BUYENZE
hazitengenezwi tena zilishapita labda kama utataka special order
hazitengenezwi tena zilishapita labda kama utataka special order
Wabongo bhana na tumaswali twaoNakodi hapo au kodi inakuwa bado?
Hapana kodi utapambana na TRA hyo ni bei ya gari
sijawahi ipenda land cruiser yoyote my love is for nissan patrol and chev
Mpya au used?
Can u share?
Thanks
Mpya kutoka south Africa ukihitaji unachanganyiwa kwenye order za magari ya mbugani yanayoingia nchini hapa inakuwa nafuu
Gari ninayoahangaika kuipata ni land rover defender tdi itanifaa sana kwa safari zangu za porini.
befoward hizi gari hawana kbs
Ingia trade caview, utaziona zipo.
SHIMBA YA BUYENZE
hazitengenezwi tena zilishapita labda kama utataka special order
A dream car,,,,,,all weather,,,,all businesses View attachment 673055 View attachment 673056 View attachment 673057 View attachment 673059
Nilizipenda sana hizi kipindi chake ila siku hizi nafagilia sana heavy duty Landcruiser 200-V8 ya 2012..
Heavy duty kwa maana ya ukubwa wa injini au?
Nayaona tuu magari kwa humu,
Hii imepita mbaaali sana na maisha ua zama hizi za vyuma.
Mwambie huyo RC wa Njombe wambadilishie matairi. Hayo anayotumia ni Radial terrain. Sasa yeye anapaswa awekewe mud terrain au ALL Terrain... Hayo ni matairi ya kuendeshea huku Dar, awaachie kina Makonda.Wabongo bhana na tumaswali twao
Wakiita wenye magari si anaenda?Kweli mkuu mtu unakuta kavimba kwenye kigari kinachoishia magotini tu
Hizi ndiyo gari za kununua sema vyuma tu
Miloni 70 wapi. Mpya intoka 120mView attachment 675510
Kwa mazingira ya Tanzania na vipato vyetu tutumie aina hii kwenye shughuri zetu za miradi ya masafa marefu Mil.70 tu za kitanzania
Hizo nenda Gumtree uk, ila bei yake utatimua mbioGari ninayoahangaika kuipata ni land rover defender tdi itanifaa sana kwa safari zangu za porini.
befoward hizi gari hawana kbs
Gari ya ndoto yangu. Lazima nitafute hata used za kibongo huko mbeleni.View attachment 673060 Safi mkuu ila models kuanzia 2015 ndio balaa kwa mtazamo wangu.
usidanganye watu wew hiyo sio milion sabini .landcruzer kama hiyo mpka tz inasimamia kama. milion 120 na usenge hivView attachment 675510
Kwa mazingira ya Tanzania na vipato vyetu tutumie aina hii kwenye shughuri zetu za miradi ya masafa marefu Mil.70 tu za kitanzania
I love this car, but Diesel!
Hio landcruiser 80 series uipate diesel manual ndio utaipenda babaake. Ina mizuka sio ya nchi hii unaweza cheza kwa mlio wa 1HD na hio mufler inavyopumua.
In my opinion its the best and rigid landcruiser of all the time
Kumbe naww unalikubaliMkuu tupo pamoja!
Acha mkuu! It’s my dream car hasa upate diesel alafu Manual transmission.Kumbe naww unalikubali
Kwakweli lazma namie nilipaki uani hilo.Acha mkuu! It’s my dream car hasa upate diesel alafu Manual transmission.
Matairi mzeeHeavy duty kwa maana ya ukubwa wa injini au?
Utawasikia wakizungumza wese linakunywa!Watu wakituma picha kama hizi watu wenye vigari vidogo dogo hulazimika kuvifunika maturubai wakiulizwa wamefunika nini wanasema magunia ya mahindi