Recent content by bilabaye

  1. B

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Asante sana, nami alinifundisha Chemistry hapo Milambo miaka hiyo ya early 2000s. Amefariki mwaka jana, mimi ni first born wake.
  2. B

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Nimesoma huu uzi, umenikumbusha mbali sana. Majubwa alikuwa Head Master kipindi hicho. Nimekulia hiyo mitaa, marehemu mzee wangu Mwl Kwigeza akifundisha Milambo miaka hiyo.
  3. B

    Watanzania wenye asili ya Rwanda

    Mzee wangu ni Mtanzania, mama Mtanzania mwenye asili ya Rwanda. Ulichopost hapa ni story za kusadikika, hakipo!
  4. B

    Watanzania wenye asili ya Rwanda

    Kama mama yeyote yule, I've never felt anything about Rwanda. Hizi misconception nimezisikia mara nyingi sana, mara Bahima empire, mara ni kawa Wayahudi n.k, binafsi sijawahi kushudia mambo hayo.
  5. B

    Watanzania wenye asili ya Rwanda

    Mzee wangu ni Mtanzania, mama Mtanzania mwenye asili ya Rwanda. Ulichopost hapa ni story za kusadikika, hakipo!
  6. B

    Wasifu wa Ally Salum Hapi

    Baadhi yetu tuliokuwa kwenye bunge la DARUSO wakati huo tunajua Peres amemchora vizuri sana Ally, hakuacha makunyanzi wala makovu ya uso wake!
  7. B

    Gharama za kutoa gari bandarini

    Angalia attachment hii, ni excel worksheet jinsi TRA wanavyokokotoa kodi. Kwa magari yote, ya zaidi ya miaka kumi na chini ya miaka kumi. Pia sio kweli kwamba gari yenye umri zaidi ya miaka kumi gharama ni kubwa zaidi, matter of fact ni ndogo. Mfumo wa sasa ulioanza mwaka jana Sept ni tofauti...
  8. B

    mgando kutoka ukeni

    Wanaume wanatokwa na utoko wakiwa bado wana magovi. Pengine kutahiriwa kwako mapema ndio sababu ya kutokulisikia neno hili kwa muda mrefu.
  9. B

    CHADEMA mtumieni Jenerali Ulimwengu

    Dah! hii imeniacha sina mbavu. Wewe utakua mkali.
  10. B

    Judge Warioba ateuliwa kuwa Mwenyekiti Tume ya Katiba

    Augustino Ramadhani anatoka Zanzibar na ni mkristo
  11. B

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    Anaruhusiwa kugombea tena?
  12. B

    Zitto: Ndio ninautaka urais

    WANAOPINGA KUONDOLEWA KWA KIKWAZO CHA UMRI WA URAIS WATOE HOJA Sabatho Nyamsenda Labda nitaje mapema kabisa kuwa mimi naupinga mjadala huu kwa lengo na namna unavyoendeshwa, aina ya watu wanaoushadadia, na baadhi ya hoja zinazotolewa. Lakini sipingi kuondolewa kwa vikwazo vya watu kugombea...
  13. B

    Zitto: Ndio ninautaka urais

    January atakuwa na miaka 41, hata hivyo amesema hautaki uraisi. Hivi mkuu, kwani si ni hivi punde tutaanza kuandika katiba mpya? Katiba hawaandiki wabunge.
  14. B

    Zitto: Ndio ninautaka urais

    Watu wanabisha bila kutoa sababu! Kwani huu ndio "ugritthinkg"
Back
Top Bottom